Ni kweli mkuu mahakimu na majaji hawatakuwa na kazi hasa ikizingatiwa kuwa huyu bwana ana rekodi ya kudharau mahakama akiwa bado waziri tu akiwa rais si itakuwa hakuna mahakama !!Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema serikali yake haitamshtaki askari polisi ikiwa ataua jambazi mwenye silaha.
Mgombea huyo alitoa ahadi hiyo jana katika mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa Mashujaa, mjini Mtwara.
Katika serikali yangu askari akimpiga jambazi mwenye silaha kwa risasi hashtakiwi. Kila mara (majambazi) wanavamia vituo vya polisi, mbona hawavamii kambi za jeshi, Jeshi la Kujenga Taifa au Ukonga FFU?, wanaona polisi wana nidhamu sasa wanawaonea na kuwaua, alisema Magufuli.
Mgombea huyo wa urais wa CCM pia aliahidi kwamba ataboresha maslahi ya askari polisi ili wafanye kazi zao kwa ufanisi na wakiwa na furaha.
Chanzo: IPPMEDIA
Mytake: Magufuli katika ubora wake..........Mahakimu na majaji ombeni likizo
Hii kauli mkuu naifanisha na ya Pinda WAPIGWE TU ambayo imesababisha madhara makubwa.Hii kauli lengo lake kuu ni polisi wauwe raia wakati wa uchaguzi na isemekane kuwa ni majambazi
Kwahiyo mengi ndo mhariri wa gazeti? jitoeni ufahamu lakini elewa hela za misaada zimezuiwa sababu ya ccm kuendekeza ufisadi...tufanye mabadiliko.Nipashe la mengi ,mengi anataka lowasa ashinde halafu wote wanatoka kaskazini conect dot we usiyejitambua.
Duh!! Na hata huyo Dr Slaa naye kusema Magufuli alimhonga hawara wake nyumba ya serikali naye si anatokea Kaskazini!? Na nina amini kama Magufuli angekuwa Muislam ungesema Mengi ana mtetea Lowasa kwa kuwa ni Mkriso mwenziwe. Amakweli CCM mme changanyikiwa.Nipashe la mengi ,mengi anataka lowasa ashinde halafu wote wanatoka kaskazini conect dot we usiyejitambua.
Nipashe la mengi ,mengi anataka lowasa ashinde halafu wote wanatoka kaskazini conect dot we usiyejitambua.
Nipashe la mengi ,mengi anataka lowasa ashinde halafu wote wanatoka kaskazini conect dot we usiyejitambua.
Dr Magufuli is the next President of the United Republic of Tanzania.
Hili jambo na kufananisha mabadiriko tunayitaka na yaliyofanyika Libya na Misri zina muondolea credit kabisa Magufuri sijui NEC hawasikii mbona sijaona wamwonye. Je UKAWA mko wapi ? perekeni malalamiko rasmi NEC.wanabodi
Hivi majuzi Magufuli akiwa kwenye mkutano wa hadhara alilitaka jeshi la polisi kuwapiga risasi majambazi yote...
Hata jana 04/09/ Babu Duni akiwa Bagamoyo alikosoa vikali kauli hiyo ya hatari kwa utulivu wa nchi..
my take:Magufuli jinsi alivyo sura yake ndivyo moyo wake ulivyo
Mkuu umezungumzia hukumu baada ya kupewa haki yake ya kikatiba ya kusikilizwa kwanza , ama sivyo CCM ifute mahakama na tunakoelekea bila shaka itakuwa hivyo.Jambaz ni muuaj hapaswi kuachwa hai jambaz anaua na hata hukmu ya uislam jambaz anatakiwa kuuawa akuthibitika hao ni watu hatar hongera maguful