makundubhyali
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 2,389
- 882
Katika uchambuzi wa magazeti ya leo gazeti la NIPASHE limeandika kuwa Magufuli ametoa amri polisi waue majambazi !!!
Kauli hii nategemea wanaotetea haki za binadamu waitolee maelezo kama walivyoshupalia kauli ya babu Seya kuachiwa na Rais.
Kama rais mtarajiwa anatoa amri ya watu kuuawa bila kupelekwa mahakamani je akiwa Rais watu watasalimika?
Wanasheria na watetezi wa haki za binadamu naomba kauli yenu.
Chanzo: NIPASHE YA LEO.
Kauli hii nategemea wanaotetea haki za binadamu waitolee maelezo kama walivyoshupalia kauli ya babu Seya kuachiwa na Rais.
Kama rais mtarajiwa anatoa amri ya watu kuuawa bila kupelekwa mahakamani je akiwa Rais watu watasalimika?
Wanasheria na watetezi wa haki za binadamu naomba kauli yenu.
Chanzo: NIPASHE YA LEO.