Sawasawa barabara zipitike muda wote, iwe usiku au mchana... iwe kama Rwanda...
Sawasawa barabara zipitike muda wote, iwe usiku au mchana
Inamaanisha kuwa hapo mwanzoni polisi walikuwa wanazembea!!Yes wawe wanawakamata haraka maana sasa imekuwa balaa huku mitaani
Yaani kupita maelezoInamaanisha kuwa hapo mwanzoni polisi walikuwa wanazembea!!
Sawa sawa kabisa mkuu hata mafisadi yawe yanafilisiwa na kuuawaPia na anayekwapua Mali ya umma KAMA Chenge na Tibaijuka...? majambazi sahihi ila ni Wengi Mno Hasa wale wasiokuwa na bunduki serikali!!
HahahahahaaaNa askari wetu walivyokuwa weupe vichwani wataenda kuwanyang'anya silaha majambazi kweli na kwenda kupandishwa vyeo ahera.
Ni kweli mkuu watu tunalala usingizi wa mang'amung'amu ndani ya nchi yetu banaNimeipenda hii sentence ya kuwakamata harakaharaka
Mijambazi ina boa sana watu tuna amka saa 4:30 alfajiri kutafuta maisha alafu lijitu linakuvizia getini lina kupora na saazingine yana ua kabisa, wacha ya nyang'anye bunduki harakaharakatu, tena kwa mwendo kasi.