Mkuu kwanza nadeclare interest kuwa elumu yangu ni ya gumbaru , Sasa naomba unieleze ni polis wa nchi gani unaozungumzia? Je ni polis hawa wanaolalamikiwa kila siku kubambikia watu kesi , kula rushwa na kuua watu kama ilivyokuwa kule Morogoro nyororo na baadae kusema wameangukiwa na kitu chenye ncha kali n.k au ni wapi?!!Hivi wewe unaongea vitu gani?!Hivi unazijua sheria na miiko ya jeshi wewe?!au unaongea tu?
Umemaliza kazi mkuuMm na kwambia Hapo akuna raisi siai wananchi tuambiwa tusiuwe she ria ifate mkondo wake police wanaambiwa wauwe je ni sawa Hapo afaiiii kuwa president uyoo magufuli@ Hapa ni lowassa tu October rest in peace Ccm
Sasa kiongozi we ulitaka majambazi wachapwe viboko
Nipashe la mengi ,mengi anataka lowasa ashinde halafu wote wanatoka kaskazini conect dot we usiyejitambua.
Katika uchambuzi wa magazeti ya leo gazeti la NIPASHE limeandika kuwa Magufuli ametoa amri polisi waue majambazi !!!
Kauli hii nategemea wanaotetea haki za binadamu waitolee maelezo kama walivyoshupalia kauli ya babu Seya kuachiwa na Rais.
Kama rais mtarajiwa anatoa amri ya watu kuuawa bila kupelekwa mahakamani je akiwa Rais watu watasalimika?
Wanasheria na watetezi wa haki za binadamu naomba kauli yenu.
Chanzo: NIPASHE YA LEO.
Katika uchambuzi wa magazeti ya leo gazeti la NIPASHE limeandika kuwa Magufuli ametoa amri polisi waue majambazi !!!
Kauli hii nategemea wanaotetea haki za binadamu waitolee maelezo kama walivyoshupalia kauli ya babu Seya kuachiwa na Rais.
Kama rais mtarajiwa anatoa amri ya watu kuuawa bila kupelekwa mahakamani je akiwa Rais watu watasalimika?
Wanasheria na watetezi wa haki za binadamu naomba kauli yenu.
Chanzo: NIPASHE YA LEO.
Hakuna jambazi. Ni mtu. Ukiua jambazi umeua mtu! Usijichukulie sheria mkononi!!!!
Nimeota kuwa uchaguzi wa kumpata mgombea ndani ya CCM bado haujaisha na hivyo huenda kura zisipigwe tarehe 25 kwani nimeota utasogezwa mbele.. Nimeota kuna kitu kitampata mgombea na hivyo kuna chama kitapewa fursa ya kuchagua mgombea mwingine na hivyo kupeleka mgombea wamtakae.
Ndoto nyingine ni mbaya sana na zinatisha mbaya.
Hii kauli haina tofauti na ile ya Pinda,Piga tuuuuuu,CCM utawala wa sheria siyo jadi yao.Kama jambazi amemgeuzia mgong unamua ili nini?Je akijisalimisha naye atauawa?
Jambazi ni mtu na Polisi ni mtu. Hakuna anayestahili kumuua mtu mwingine. KIla mtu ana haki ya kuishi. Kuna sheria ambazo lazima ziachwe zichukue mkondo wake wa kumpatia haki kila mtu!Unamaanisha jambazi yeye ndio ana uhalali wa kuua polisi, ambao kwa mawazo yako unaona wao sio watu?