Hii itawauma wengi

Hii itawauma wengi

Hapa naona vita kati ya watu waliohama makwao(wenye kazi)na ambao wapo makwao(wasio na kazi)some time huwa najiulizaga hivi wale wafanya mazingaombwe wanageuza makaratasi kuwa hela wako wapi maana huu ndo muda sahihi wa kufanya hivyo maana vy***** vimekaza.
Nb:kila mtu anamda wake wa kuondoka nyumbani japo wengine tulikimbia toka tukiwa na miaka 15
Umeondoka home una 15, hapo niko o level...wewe hukwenda shule?
 
Huwa nawahurumia sana wadada wanaotongozwa mitandaoni. Anawasiliana na jamaa huku kichwani anajenga picha ya kukutana na bonge la shefa. Siku anapokutana na huyo mtu sasa. Anatamani hata kutapika kwa hicho kituko alichokutana nacho.
CC. Mzigua90 Madame B Evelyn Salt Shunie
Hili lipo pande zote mkuu...Nakazia ulipoishia.

Mtoa mada hauwezi kuwa sahihi kwa kila mtu ila ulisemalo nadhani hata wawili tukikuunga mkono inakupa faraja ya kuandika mengine kesho.
 
limekugusa aiseee
hapana mkuu,limenisikitisha,wakati sina kitu ndio nilikuwa nina mawazo kama hayo yako ya kimasikini,kwa sasa nina uwezo wa kukulea wewe mkeo na wanao,hata miaka 20 bila shida,tena kwa chakula,mavazi na malazi,na pocket money juu,ila nilikuja kujigundua kuwa nilikuwa stupid to the maximum to spend my time thinking about how others live and managing their life,ndio kinachofanyika hapa,jamaa anafeli,wakati wa kutaka kujua nani anafanya nini au anaishi vipi ni ujinga kama ulivyo ujinga mwingine,kila binadamu anatakiwa kuheshimiwa na kuwa na uhuru wa kuishi anavyotaka yeye bila kukinzana na wanaomzunguka,halafu kama wazazi wake waliomleta duniani wanona sawa tu kijana wao kuishi nyumbani,wewe mtu baki unasimama kama nani dunia hii kutoa judgement kwa mtu asiyekuhusu?tubadilike wakuu,tuishi kisasa kwa kujiangalia wewnyewe tutajikwamua vipi,na si kuwa na kajiroho fulani ka wivu na chuki bila kujijua!
 
Bila shaka huyo ni mwalimu kajianzishia Tuition na daycare yake sasa wale wazee wa kubeti wanambeza.. hatmaye kaamua kutoa ya Moyoni.
 
hapana mkuu,limenisikitisha,wakati sina kitu ndio nilikuwa nina mawazo kama hayo yako ya kimasikini,kwa sasa nina uwezo wa kukulea wewe mkeo na wanao,hata miaka 20 bila shida,tena kwa chakula,mavazi na malazi,na pocket money juu,ila nilikuja kujigundua kuwa nilikuwa stupid to the maximum to spend my time thinking about how others live and managing their life,ndio kinachofanyika hapa,jamaa anafeli,wakati wa kutaka kujua nani anafanya nini au anaishi vipi ni ujinga kama ulivyo ujinga mwingine,kila binadamu anatakiwa kuheshimiwa na kuwa na uhuru wa kuishi anavyotaka yeye bila kukinzana na wanaomzunguka,halafu kama wazazi wake waliomleta duniani wanona sawa tu kijana wao kuishi nyumbani,wewe mtu baki unasimama kama nani dunia hii kutoa judgement kwa mtu asiyekuhusu?tubadilike wakuu,tuishi kisasa kwa kujiangalia wewnyewe tutajikwamua vipi,na si kuwa na kajiroho fulani ka wivu na chuki bila kujijua!
na ww ndo wale wale hauna kitu hapo mbwembwe tuh
 
Akakae kwae alishe Familia akiwa nje ..pia unawezekana


Mtu kuishi kwao wala sidhambi pia akuna ubaya wowote tuache mambo ya kizamani jamani. mathalani nyumbani kwenu kuna nafasi au vyumba vya kutosha miundo mbinu mizuri ya maji na umeme na wewe unakazi ambayo inakuingizia kipato kizuri na wewe bado ni bachela, sasa yanini kwenda kwenye nyumba za kupanga sibora ukae kwenu wakati huo nawewe unachangia gharama za matumizi .kwa kukaa nyumbani utapata unafuu kiasi Fulani katika kujipanga vizuri tena bila kuathiri uchumi wa wazazi wako kwa sababu unachotumia nyumbani kinatokana na mchango wako.
Mtu kama kapata bahati kuwa karibu na kwao na mazingira ni rafiki anaweza kuishi kwao kwa mazingira niliyoelezea hapo juu wala asione tatizo labda kiuchumi anajimudu ana viwanja, usafiri na kuhusu kujenga nitaratibutaratibu ujenzi hautaki haraka kwa wale wanauchumi wanalijua hili, labda atahama kwao atakapofikia wakati ambao yeye anaona ni sahihi kuhama baada ya kupata mchumba wa kuishinae.
Faida za kuishi nyumbani .
  • unapunguza gharama ambazo zingapotea bure tu kwenda kwa mwenye nyumba umeme na maji
  • unaachana na mambo ya kula migahawani kula migahawani sikuzuri sana kiafya hata kiuchumi
  • unaokoa muda mwingi sana badala ya kukaa na kuwaza vikazi vidogovidog lakini nyumbuni kuna wadogo zako wanakupa kampani
  • pia nyumbani kunakufanya kudumisha maadili mema zaidi kwasababu uwezi kujiingiza kwenye mambo ya kishenzi wakati upo kwenu na wazazi
  • unapoumwa au kupata matatizo msaada unoupata ni wa uhakika na kwaurahisi kwa kutoka kwa wazizi na ndugu
  • zipo faida nyingi za kiuchumi,kijamii nk
lakini pia hata kwa wale ambao hawana kipato bado sivibaya kukaa kwao kama kuna msaada kwanini asikae kwao ili ajipange vizuri kwani ni nani katika maisha haya asiye saidiwa, tena huyu anasadiwa na wazazi wake. Jambo baya ambalo naliona hapa ni mtu kuamua kuishi nyumbani kwao bila kuwa najitihada zozote za namna ya kujikwamua na kuwa mtegemezi wengine hadi anaoa akiwa kwao na mke anakuja kuishi hapohapokwao. Mtu wa hivyo kwa kweli ni hamnazo .
mwisho tusiforce kuyafanya maisha kuwa magumu tukiamini ni upambanaji ukipata fursa ya kurahisisha maisha utumie ili ufanikiwe haraka. Angalieni wazungu,wahindi na waraabu wala hawapitii msoto kiivo lakini wao ndio wanafanikiwa zaidi kuliko sisi manguvu mengi wavulia umande.
 
Umesahau na wale mademu ambao akipewa msosi wa offer lazima apige picha na kupost kuwa na yeye huwa anakula vizuri.....
 
Back
Top Bottom