Nas Jr
JF-Expert Member
- May 15, 2018
- 7,918
- 8,704
Mkuu wana kukaa kwa mama zao, ku roll na ndinGa za Baba zao inaonekana imekuuma sana but TRUST ME mtu kukaa kwao sometime ni mfumo tu coz kuwahi kuondoka kwenu halafu uishi maisha kama chokoraa SIO UJANJA ni UFALA kiwango cha drimulaina.....
Hawa OMBAOMBA tunaowaona Ubungo, Mbagala, Temeke na kwingine mjini wana kwao, na huenda wangeweza kupata hifadhi na sio kuja kulala barabarani, Nje, kuwa wezi na kufa kizembe....
NOTE: Muhimu ni mtu ajue ni wakati gani yuko tayari kuondoka kwao na yeye pekee ndio anaujua huo wakati..
ACHA KUWAPANGIA WATU MUDA, wewe cheza na Time Zone yako usifosi mfanane...ukitaka waondoke kwao wape deals na sio kuleta porojo za kifala.
Hawa OMBAOMBA tunaowaona Ubungo, Mbagala, Temeke na kwingine mjini wana kwao, na huenda wangeweza kupata hifadhi na sio kuja kulala barabarani, Nje, kuwa wezi na kufa kizembe....
NOTE: Muhimu ni mtu ajue ni wakati gani yuko tayari kuondoka kwao na yeye pekee ndio anaujua huo wakati..
ACHA KUWAPANGIA WATU MUDA, wewe cheza na Time Zone yako usifosi mfanane...ukitaka waondoke kwao wape deals na sio kuleta porojo za kifala.
