Hii imekaaje demu kuja geto na rafiki yake

Hii imekaaje demu kuja geto na rafiki yake

Simple tu huyo demu hataki kutoa tunda huyo rafiki yake ni bodyguard tena kama kuna hela uli ahidi kaifata akijua huna cha kumfanya

Hii imewai nitokea nilicho kifanya nilihamisha attention yangu yote kwa rafiki yake

Nikaa Karibu na rafiki yake nikachukua namba yake mbele yake nikamsifia sana uzuri wa sura na umbo kua amewazidi wanawake wengi ela niliyo kua nime mwambia aje achukue ni 30k nikampa ila nikakubali kuingia hasara nikakwambia rafiki yake kwa ulivo ni impress yeye nikampa 40k

Upande wa pili mdomo ulivimba kwa kununa nikajua dawa imeingia sijui kama waliendelea na urafiki hii ndio dawa yao hawa matepeli akija na rafiki yake na mlipanga ni faragha wewe mtongoze rafiki yake mbele yake
Mwisho wa kunukuu. Suluhu iko hapa
 
Salamu wakuu. Hii kitu nashindwa kuelewa

Anampanga demu mida flani njoo geto demu anaitikia

Mwisho wa siku unashangaa amekuja na marafiki zake na hao marafiki zake na wao wanakuja na marafiki zao

Basi wakifika utadhani wamekuja kuandamana maana sio kwa msululu huo

Sasa mi nashindwa kuelewa mbaya zaidi Utasikia Shem tuna njaa twende kwako ukatupikie

Nyie wenzangu mnawezaje binafsi Huwa ikitokea Hali Kama hiyo Mimi na huyo demu ndo tunaishia hapo hapo


Nimekuita wewe njoo wewe Kama wewe siku nikiwa na shida na hao Wana ukoo nitaitisha kikao
Makasirikoooo.. unge waambia hao hao..

Mimi natoa DEDICATION

ZIWAFIKIE_COYO MC.
 
Salamu wakuu. Hii kitu nashindwa kuelewa

Anampanga demu mida flani njoo geto demu anaitikia

Mwisho wa siku unashangaa amekuja na marafiki zake na hao marafiki zake na wao wanakuja na marafiki zao

Basi wakifika utadhani wamekuja kuandamana maana sio kwa msululu huo

Sasa mi nashindwa kuelewa mbaya zaidi Utasikia Shem tuna njaa twende kwako ukatupikie

Nyie wenzangu mnawezaje binafsi Huwa ikitokea Hali Kama hiyo Mimi na huyo demu ndo tunaishia hapo hapo


Nimekuita wewe njoo wewe Kama wewe siku nikiwa na shida na hao Wana ukoo nitaitisha kikao
Shida ya wewe kudate na wanafunzi na watoto wasiojitambua ndiyo hii...
 
Toa 40k wape wakehemee waje wapike ww mchukue mpenzi nenda room mjifungie menu ikiiva watawaita mbona vtu vidogo afu unalalamika
Maana hata hao rafiki zake wanajua nyie ni wapenzi na kufanya sex ni moja ya majukumu yenu na ata wakimsindikiza haiwezi zuia
 
Nakumbuka kuna mkaka mmoja aliniita kwake nikaenda na mtoto wa dada yangu mdogo kama wa mwaka na miezi kadhaa, miaka ya zamani hivi
 
Toa 40k wape wakehemee waje wapike ww mchukue mpenzi nenda room mjifungie menu ikiiva watawaita mbona vtu vidogo afu unalalamika
Maana hata hao rafiki zake wanajua nyie ni wapenzi na kufanya sex ni moja ya majukumu yenu na ata wakimsindikiza haiwezi zuia
Haswaaaaa!!
 
Back
Top Bottom