Du! umebadili uraia?
Teh teh teh! Mmongolia wa YaedaAnd only Tanzania........ila nashukuru.....kwa sasa mimi ni mMongolia........
Ofcoz 2015 ni lazma Rais atabadilika hope utarudi kwenu ingawa chama huenda kisibadilike.
duh..watanzania mna kazi...!!
..yeah..sio hapa..btw pole..na misiba huko..ArushaHeri yetu sisi tumeamua kuwa waMongolia bebii......
..yeah..sio hapa..btw pole..na misiba huko..Arusha
najua mko katika wakati mgumu wana arusha...nairobi mazishi ya mawala eeh..kila la kheriAsante bebii......kesho tunaelekea Nairobi kwenye mazishi......inauma bebii ujue......
...especially East Africa.
sisi...wewe na sisi...ndio wenye nchi? mbona wewe sio mtanzania? umesema umeukana uraia wa TZ na kuwa mMongolia!!!Hivi hatuwezi kuamua......tukamchagua Queen....Obama....au Kagame.....yani waTanzania tunakubaliana tu kuchagua......sisi si ndio wenye nchi.....? ....haifai.....?
Bodo kuna weakness kwa mainjinia kwa sababu ujenzi huzingatia pia aina ya udongo wa ardhi.Kwa taarifa yako hiyo ghorofa ilikuwa imara sana, isipokuwa ardhi ilititia tu