KJ07
JF-Expert Member
- Dec 17, 2021
- 2,243
- 5,000
Salaam wakuu.
Hivi sasa tunaona serikali na wadau mbalimbali wakitoa support kwa timu za mpira za simba na yanga kuelekea michezo yao ya robo fainali klabu bingwa barani afrika.
Inatokea media yenye waandishi wa mchongo na kupost maneno yenye ukakasi yasiyo na chembe ya kutia moyo timu za nyumbani licha ya hali halisi.
Hii sio sawa kwa media kubwa kama EAST AFRICA RADIO/TV KUPUBLISH UJINGA HUU.
Haijakaa kitaalamu
Hivi sasa tunaona serikali na wadau mbalimbali wakitoa support kwa timu za mpira za simba na yanga kuelekea michezo yao ya robo fainali klabu bingwa barani afrika.
Inatokea media yenye waandishi wa mchongo na kupost maneno yenye ukakasi yasiyo na chembe ya kutia moyo timu za nyumbani licha ya hali halisi.
Hii sio sawa kwa media kubwa kama EAST AFRICA RADIO/TV KUPUBLISH UJINGA HUU.
Haijakaa kitaalamu