Hii hapa nyumba pekee ya Askofu Kakobe

Hii hapa nyumba pekee ya Askofu Kakobe

dada hizo ndo mhm na hiyo ndo nyumba ya kakobe kama kuna mtu ana ushahidi basi aje na data maana nyumba ikijengwa haiwezi kujengwa na mtu mmoja lazima siri ivuje

Wanamdhallsha aliweka uzi angali hawana vthibtsho.wanasklza radio mbao za mtaa
 
Denis Msacky akiwa gazeti la Mwananchi alitumia vijana wake waka kaa hapo kwenye nyumba hiyo wakitaka kumpiga picha Askof Kakobe lakini mda wote Kakobe alikuwa kwenye maombi ya faragha ndipo walipokuja na habari ya uongo kuwa Kakobe ametoroka na habari hiyo ikaenea nchi nzima na kuwafurahisha sana watawala .

Kwa ufupi Denis amekuwa akitumiwa na watawala wa CCM kumuhujumu Kakobe na gazeti hilo limekuwa la Kwanza kumuchafua Kakobe.

Uchafu huo umepungua baada ya Denis Kuonda Mwananchi.

Kiukweli nymba hiyo ipo moja tu na jambo hili linawashangaza watawala kwa kuwa Kakobe hana personal account Benk, isipokuwa Akaunt ya Kanisa tu.
Nyumba hiyo inafahamika na hakuna nyumba nyingine.

Hata ukiangalia nyumba hiyo ni ya chini kuliko hata nyumba za waumini wake pia.
Huwezi ukamgusa Kakobe katika masuala ya maadili na uongozi harafu ukamshinda!!

Nawapa Changamoto watawala waonyeshe hadharani nyumba anayomiliki Kakobe tofauti na hii na ushahidi wake!!

denis msacky ameondoka mwananchi? amehamia wapi?
 
Uache u zombie wewe,mwaka jana kwenye mkutano wa vyama vya upinzani pale jangwani,alikuja na V8 mpya nyeupe,akiwa na dereva wake na mabodyguard,waliohudhuria mkutano ule ni mashahid,sasa unataka uniambie gari ile ya kifahari anaipaki hapo kwenye hcho kibanda?

Unafahamu umiliki wa hiyo gari uliyotaja ??

Kama upo TRA au serikalini kabla hujajibu hili yueleze tujue, mimi najua sasa wewe unapotukana watu huku ukiwa hujui sasa hapa ni kazi!!
Mimi nakuambia mtu yule hana Acount katika benki yoyote na hata alipokwenda DRC watu wote waliochangia michango yao iliwekwa wazi kwenye TV jambo lililo washangaza wengi sasa usiwafanye watu wajinga wakati upo ushahidi wa maandishi
 
Swala la Kakobe kuishi nyumba ya kawaida na gari moja haisaidii kama ana mambo yake ya ziada,sema tu mambo labda hayajamwendea,ila bado siamini maana anaenda mikutano mpaka nchi za nje kama china,nadhani zamani alikuwa na kipindi kwenye tv station flani kwa sasa sina uhakika,hela za kuendesha hayo yote waumini walikuwa wanachangia?sijaelewa.
Nakumbuka alipo enda DRC mawaziri walichangia na yote hayo yakaonyeshwa kwenye TV na mikutano mingi ya nje huwa wanaomwita wanalipia gharama zote .

Hata hivyo kwa njinsi ilivyo ni vigumu watu waliowaovu kuamini kazi ya haki
 
siku kakobe akiwa hayopo kanisani nani anaendesha misa?
maana nasikia huwa wanaweka CD's za mahubiri,ni kweli haya?
Hizo ni propaganda za CCM!!
Alipotaka kuanzisha TV wakaleta Vizuizi!!
Alipo arikwa kwenda kuhuburi USA wakasema ametoraka na TBC wakatangaza hivyo!!
Hayo ndo machafu ya CCM
Baada ya kushindwa hapo wakasema ametoroka!!
Sasa amerudi wameanza tena kusema mengine!!
 
Haya machuma yote kuzuia waumini wasiende kunywa chai, sitaki kuamini anajikinga na maadui maana kwa mtindo huo atakuwa na mabaunsa ikiwezekana bastola kiunoni wakati wa maombi.
Ndivyo ulivyo zoea wewe maana huwezi kuamini ukweli ila uongo!!
 
siyo dhambi mtumishi wa Mungu kuwa na mali!!

Kwa hiyo mnataka awe maskini ili iweje sasa,.. I don't get the concept!
siyo dhambi kuwa na mali tena siyo dhambi kutokuwa na mali!!
Lakini ni afadhali ngamia kuingia kwenye tundu la sindano kuliko tajiri kuona ufalme wa Mungu!!
 
Wajinga ndio waliwao.
Ni kweli kabisa wajinga ndo wanadanganywa sana kwa mfano kuna uzushi unajitokeza kuwa :
1.Waumini wanao kwenda kusali Kwenye kanisa la Kakobe ni masikini
2.Kakobe anatapeli dhahabu za Waumini
3.Kakobe ni tajiri

Sasa mwenye akili kama wewe anaweza kung'amua kuwa hapa wajinga ndo wanaliwa na sasa acha kula vya watu ili uwe huru kutoa mawazo sasa hivi watu wanachambua mbumba na mchele.
 
Semeni tu ukweli?fedha,dhahabu na vyote viijazavyo dunia ni mali ya bwana,hagai ngapi sijui?kwani ikisema ana vitu kadhaa kuna tatizo gani?sindivyo alivyobarikiwa kwani mtu kuwa na mali ni dhambi?

Mkuu hujui hata Hagai ???
Wewe umejikita kwenye mali lakini hagai hujui !!!
 
amekulipa kiasi gani mkuu na mimi anipe hiyo ajira
 
Mimi sijafurahia Kujisifia umasikini wa Kakobe KABISA... Aliyeandika maneno hayo juu ndiye anayependa Kakobe awe masikini maisha yake yote... Yoyote anayeshabikia UMASKINI wa Kakobe atakuwa ana matatizo... Kama wewe Smirna na Mhabarishaji ni washirika wa Kakobe.. Basi Kakobe hana washirika.. Nani anafurahia na kuonyesha umasikini wa Baba yake?? Jambo hili limenikera sana.. Mhabarishaji ukatubu.. Na wewe Smirna acha kusapoti...
Kuwa tajiri si dhambi lakini ni rahisi ngamia kuingia kwenye tundu la sindano kuliko tajiri kuingia mbinguni
 
Sawa nime elewa. Lakin kwani mtumishi wa Mungu kuwa tajiri ni vibaya?,
Kwanza kama nyinyi ndio waumini wa kakobe nawapa pole maana,kakobe kama kiongozi wa mfano angetakiwa aishi maisha mazuri zaidi ya hapo.

Nashnagaa tunasifia umaskini. Basi na leteni takwimu za sadaka zinazotolewa.

Binafsi namkubali Kakobe kuliko mwingira na yule mama.
Kwanza yule mama anathulumu watu viwanja na mali kila kukicha.


The king.
Angetakiwa na nani????
Maana kama ni matakwa ya Shetani itajulikana tu
 
Kutokuwa na utajiri kimemsaidia nini Askofu Kakobe.. Mbona watu hawajawahi kuacha kumsema?? Askofu Kakobe hajafaidika kuwa maskini bali atazeeka tu na kushindwa kufanya huduma aliitiwa na Mungu...
Kinachoweza kusaidia injiri kuhubiliwa si utajiri bali utakatifu.
Tafuta kwa bidii kuwa na amani na huo utakatifu ambao hakuna mtu atakaye muona Mungu bila huo!!
Utajiri na Matajiri hawawezi kuhubiri injiri bila utakatifu. Lazaro alizingatia utakafu akapokelewa na kuwekwa kifuani pa Mungu
 
Back
Top Bottom