Hii hapa nyumba pekee ya Askofu Kakobe

Hii hapa nyumba pekee ya Askofu Kakobe

nailazimisha nafsi yangu kuamini inakataa kabisaa yani imekataa.hiyo kweli ni nyumba yake nakubali ila kwa maelezo kua ndio hiyo hiyo huenda ikawa sikweli.

Fanya utafiti, halafu ukithibitisha iko nyumba yake popote pengine, iweke hapa. Siyo hilo tu, JF inasomwa kila mahali ulimwenguni, mlango uko wazi kwa yeyote anayeijua nyumba yake nyingine, kuiweka hapa. Jamani, hivi kweli hakuna hata fundi mwashi, fundi umeme, fundi bomba, au fundi seremala aliyeshiriki kujenga nyumba yake yoyote nyingine (kama ipo)? Ni vema kama fundi huyo yupo, aje hapa na ushahidi, ili akate mzizi wa fitna!!!!
 
Huyu jamaa ZK kakosa mvuto na hata waumini
namuuliza mleta Mada hivi miaka ya 1982 pale mtaa wa Msimbai na Swahili aliyekuwa akiuza kanda za casset kwa jina la JOBISO alikuwa sio Zakaria wa Kigoma? km ni yeye basi kuna kupanda na kushuka
na ni nani aliyamtabiria Augustino Lyatonga kuwa Rais wa Inji hii
Ni nani aliyekitabiria kifi CCM mwaka huu
upo ushahidi mwungi wa uonesha ninyi Walokole MNACHEMSHA na hamjui MILFANYALO
fgbfchurch_samnujoma_road.jpg
fgbf-church-sam-nujoma-mwenge1.jpg


V
KAKOBE.jpg


[MENTION]
JIBU: Mimi niliwekewa mikono na Askofu Kakobe, na kuwa mchungaji tangu tarehe 3-3-1996 na nimekuwa katika utumishi muda wote hadi mnamo mwaka 2010.

SWALI: Kwa mtazamo wako kuna tofauti yoyote baina ya Kakobe wa wakati ule wewe ukiwa FGBF na Kakobe wa sasa?
JIBU: ukweli ni kwamba, Askofu Kakobe alivyo sasa sivyo alivyokuwa miaka ya nyuma, zamani alizingatia sana Neno la Mungu na kuishi katika mapenzi ya Mungu, na ndio sababu Watanzania na Dunia kwa ujumla ilishuhudia uwepo wa Mungu juu yake, kama vile ishara maajabu na miujiza,
leo hii, neema hiyo kwake imepotea! Amepoteza mwelekeo na kubaki na jina tu la uaskofu lakini kibali cha Mungu hakipo juu yake
. Na hii inatokana kupenda pesa zaidi na kupenda sifa au kutafuta utukufu.


[/MENTION]
 
Sawa nime elewa. Lakin kwani mtumishi wa Mungu kuwa tajiri ni vibaya?,
Kwanza kama nyinyi ndio waumini wa kakobe nawapa pole maana,kakobe kama kiongozi wa mfano angetakiwa aishi maisha mazuri zaidi ya hapo.

Nashnagaa tunasifia umaskini. Basi na leteni takwimu za sadaka zinazotolewa.

Binafsi namkubali Kakobe kuliko mwingira na yule mama.
Kwanza yule mama anathulumu watu viwanja na mali kila kukicha.


The king.
 
Acha kudanganya umma, sadaka zile za kwenye bahasha ya kaki za kila juma pili uwa zinaenda wapi sasa?
 
Huyu jamaa ZK kakosa mvuto na hata waumini
namuuliza mleta Mada hivi miaka ya 1982 pale mtaa wa Msimbai na Swahili aliyekuwa akiuza kanda za casset kwa jina la JOBISO alikuwa sio Zakaria wa Kigoma? km ni yeye basi kuna kupanda na kushuka
na ni nani aliyamtabiria Augustino Lyatonga kuwa Rais wa Inji hii
Ni nani aliyekitabiria kifi CCM mwaka huu
upo ushahidi mwungi wa uonesha ninyi Walokole MNACHEMSHA na hamjui MILFANYALO
fgbfchurch_samnujoma_road.jpg
fgbf-church-sam-nujoma-mwenge1.jpg


V
KAKOBE.jpg



JIBU: Mimi niliwekewa mikono na Askofu Kakobe, na kuwa mchungaji tangu tarehe 3-3-1996 na nimekuwa katika utumishi muda wote hadi mnamo mwaka 2010.

SWALI: Kwa mtazamo wako kuna tofauti yoyote baina ya Kakobe wa wakati ule wewe ukiwa FGBF na Kakobe wa sasa?
JIBU: ukweli ni kwamba, Askofu Kakobe alivyo sasa sivyo alivyokuwa miaka ya nyuma, zamani alizingatia sana Neno la Mungu na kuishi katika mapenzi ya Mungu, na ndio sababu Watanzania na Dunia kwa ujumla ilishuhudia uwepo wa Mungu juu yake, kama vile ishara maajabu na miujiza,
leo hii, neema hiyo kwake imepotea! Amepoteza mwelekeo na kubaki na jina tu la uaskofu lakini kibali cha Mungu hakipo juu yake
. Na hii inatokana kupenda pesa zaidi na kupenda sifa au kutafuta utukufu.

Ishara maajabu na miujiza, siyo alama kuu ya uwepo wa Mungu juu ya Mtumishi wa Mungu. Yohana Mbatizaji alikuwa Mtumishi wa Mungu, wa kipekee sana, na Yesu anasema juu yake katika MATHAYO 11:11,"Amin, nawaambieni, Hajaondokea mtu katika wazao wa wanawake aliye mkuu kuliko Yohana Mbatizaji; ....." Hata hivyo, Yohana Mbatizaji hakuwahi kutoa pepo hata mmoja, au kufanya hizo ishara, maajabu na miujiza! Mkuu, acha kwenda nje ya mada iliyowekwa na mleta uzi, turudi kwenye mada.
 
Bila unafiki wowote ndani yangu,nathibitisha kwamba yote yaliyoandikwa hapa ni kweli kwa asilimia zote.Mimi nimefika pale na kumjua Askofu Kakobe kuanzia mwaka 1991 na kwa hakika ni kweli bila shaka yoyote kwamba hii ndio nyumba pekee ya Askofu Kakobe.Uongo na uzushi haulipi!Penye ukweli uongo hujitenga.Huyu siyo mchumia tumbo.Kakobe ni Mtumishi wa kweli wa Mungu.
 
Acha kudanganya umma, sadaka zile za kwenye bahasha ya kaki za kila juma pili uwa zinaenda wapi sasa?

Sadaka hizo zinafanya kazi kubwa nchi nzima. Wilaya zote nchi nzima Tanzania (bara), kuna Majengo ya Makanisa ya FGBF, mpaka ndani ndani vijijini. Angalia tovuti ya Kanisa: www.fgbfchurch.org ukurasa wa matawi ya Kanisa, utaona picha za makumi kwa makumi ya majengo hayo. Hii ndiyo kazi ya sadaka hizo.
 
Mimi sijafurahia Kujisifia umasikini wa Kakobe KABISA... Aliyeandika maneno hayo juu ndiye anayependa Kakobe awe masikini maisha yake yote... Yoyote anayeshabikia UMASKINI wa Kakobe atakuwa ana matatizo... Kama wewe Smirna na Mhabarishaji ni washirika wa Kakobe.. Basi Kakobe hana washirika.. Nani anafurahia na kuonyesha umasikini wa Baba yake?? Jambo hili limenikera sana.. Mhabarishaji ukatubu.. Na wewe Smirna acha kusapoti...
 
Kwa hiyo mnamsafisha kwamba yeye sio mlafi wa sadaka kama wale wengne mfano yule wa ubungo
 
Kilichoandikwa hapa juu ya Askofu kakobe ni kweli kwa asilimia zote.Kwangu uongo ni mwiko.Una ushahidi usio na shaka ulete hapa.Popote duniani hana nyumba nyingine zaidi ya hii aliyoileta picha hapa.
 
Sasa kama hana mafanikio ya maendeleo.. Ambavyo ni vitu vya muhimu kwa binadamu kama Nyumba na vinginevyo... Basi ninyi washirika wa Kakobe mnataka kutuambia kwamba Kakobe ni Mganga wa Kienyeji?? Maana Waganga wa Kienyeji ndio hawana mafanikio .... Wewe Mhabarishaji na Smirna mwambieni Askofu awasalie mtubu...
 
Kilichoandikwa hapa juu ya Askofu kakobe ni kweli kwa asilimia zote.Kwangu uongo ni mwiko.Una ushahidi usio na shaka ulete hapa.Popote duniani hana nyumba nyingine zaidi ya hii aliyoileta picha hapa.

Kwa hiyo wewe GBBS unafurahia kabisa sana Umasikini wa Kakobe?? -------- wewe.... Mimi sio mshiriki lakini sio mara moja ninakuja pale kanisani... Naanza kutiwa shaka...
 
Kutokuwa na utajiri kimemsaidia nini Askofu Kakobe.. Mbona watu hawajawahi kuacha kumsema?? Askofu Kakobe hajafaidika kuwa maskini bali atazeeka tu na kushindwa kufanya huduma aliitiwa na Mungu...
 
Back
Top Bottom