Albosignathus
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 4,898
- 1,051
Vipi kuhusu Mwingira, Gwajima, Lusekelo na Rwakatare, nao wanaishi nyumba za design gani?
Magwiji ya usanii haya
Vipi kuhusu Mwingira, Gwajima, Lusekelo na Rwakatare, nao wanaishi nyumba za design gani?
biashara siku hizi imekua ngumu,nasikia hata marekani pamemshinda kuishi akaona isiwe tabu nirudi nyumbani.Analipwa kupiga promo.waumini wamepungua.
Vipi kuhusu Mwingira, Gwajima, Lusekelo na Rwakatare, nao wanaishi nyumba za design gani?
Uache u zombie wewe,mwaka jana kwenye mkutano wa vyama vya upinzani pale jangwani,alikuja na V8 mpya nyeupe,akiwa na dereva wake na mabodyguard,waliohudhuria mkutano ule ni mashahid,sasa unataka uniambie gari ile ya kifahari anaipaki hapo kwenye hcho kibanda?
huyu mleta uzi huo anatuona sisi watoto au.....kakobe kakutuma uje umpigie promo
tuambie kwanza dhaka na sadaka zinaenda wapi afu ndyo ulete prnpangada zako
Ni kweli kabisa, hizo tu ndiyo mali zake binafsi Askofu Kakobe. Mimi nimekuwa muumini wa Kanisa la FGBF, kwa miaka 25 sasa, yaani tangu lilipoanzishwa 1989. Muda huu mrefu, umenipa kumfahamu kwa karibu sana, Mchungaji wangu huyu. Ninathibitisha kwamba haya ndiyo maisha halisi ya Askofu Kakobe, tofauti na uzushi mwingi wa mashetani. Mtumishi huyu wa Mungu, analiishi hasa Neno la Mungu analolihubiri; ndiyo maana waumini tunampenda, kumwamini na kumheshimu; na makelele yote ya mashetani, hayawezi kututenganisha naye. Ninapafahamu mpaka kijijini kwake Askofu Mkuu Kakobe, huko Kakonko, Kigoma. Kijijini kwake, nako, hana hata banda. Miaka yote hii, akienda kijijini, amekuwa akifikia kwenye nyumba ndogo ya wazazi wake, Frank Kakobe, na Debora Kakobe, waliofariki muda si mrefu uliopita.
Na wewe ni nani wake?
Uache u zombie wewe,mwaka jana kwenye mkutano wa vyama vya upinzani pale jangwani,alikuja na V8 mpya nyeupe,akiwa na dereva wake na mabodyguard,waliohudhuria mkutano ule ni mashahid,sasa unataka uniambie gari ile ya kifahari anaipaki hapo kwenye hcho kibanda?