Hii hapa nyumba pekee ya Askofu Kakobe

Hii hapa nyumba pekee ya Askofu Kakobe

Lèo ndio nimeamin ukweli kuhusu huyu mchungaji kumbe yaliyokuwa yanasemwa juu ni uongo na uzandiki mtupu, tatizo la wabongo kukalilishwa vitu nao kuvipokea bila kuvifanyia utafiti matokeo yake wanapinga tu bila kuleta ushahidi, mbona hao wachungaji wengine mmeweza kuzitaja mali wanazomiliki hata bila hii thread kuwahusu. Achen ujinga

Wameshikwa pabaya!!!!!!!!
 
Namuheshimu sana mtumishi wa MUNGU Kakobe na naheshimu kazi yake Tanzania na duniani kwa ujumla.ila mimi nikianza utumishi ntakuwa natembele bentley na ferrari na helcopter cause naamini hata sisi matajiri tumeitwa kumtumikia MUNGU
 
Hit to the point!! Coz sikuelewi unamaana gan?!!


Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
 
akizichimbia ardhini yeye
zinamsaidia nini hizo pesa? ifikie hatua tusiwe tunakubalikubali tu
maneno ya mtaani bila kuangalia japo tu kama yana logic

Kama unaweza kuwachukia watumishi wa Mungu kiasi hicho basi unamchukia sana Mungu na kumpenda sana shetani. Angalia Mungu ANAWAHESHIMU SANA NA KUWABARIKI WANAOMTUMIKIA K.M KAKOBE..Mwamini YESU Utaokoka.
 
jamani mimi nikiambiwa au kusikia kakobe ana chopa ntafurahi zaidi unataka apande PUNDA kipindi cha Yesu punda na farasi ndio ulikuwa usafiri wa gharama kubwa sasa mambo yamebadilika
 
Ni kweli kabisa, hizo tu ndiyo mali zake binafsi Askofu Kakobe. Mimi nimekuwa muumini wa Kanisa la FGBF, kwa miaka 25 sasa, yaani tangu lilipoanzishwa 1989. Muda huu mrefu, umenipa kumfahamu kwa karibu sana, Mchungaji wangu huyu. Ninathibitisha kwamba haya ndiyo maisha halisi ya Askofu Kakobe, tofauti na uzushi mwingi wa mashetani. Mtumishi huyu wa Mungu, analiishi hasa Neno la Mungu analolihubiri; ndiyo maana waumini tunampenda, kumwamini na kumheshimu; na makelele yote ya mashetani, hayawezi kututenganisha naye. Ninapafahamu mpaka kijijini kwake Askofu Mkuu Kakobe, huko Kakonko, Kigoma. Kijijini kwake, nako, hana hata banda. Miaka yote hii, akienda kijijini, amekuwa akifikia kwenye nyumba ndogo ya wazazi wake, Frank Kakobe, na Debora Kakobe, waliofariki muda si mrefu uliopita.

Kakobe na Lusekelo nani zaidi na kuna tofauti gani baina yao
 
Kwahiyo Kama ndio nyumba Yake sisi Tufanye je?
 
Baada ya kuona watu hawaitaji tena kuibiwa naona umekuja na mpya ili upate tena wakuwavua midhahabu yao.
 
Nani aje kuyumbishwa mimi simuabudu mtu namuabudu mungu nyie endeleeni kumtafutia huyo jamaa maisha bora kwa sasa hana mpya tena ndio anatafuta pa kuanzia ndo mana unaona yote haya yameanza. Zite ni promo tu wasio na akili waende imani gani ya kujitajirisha mchungaji huku waumini wakizidi kudhoofika siku hadi siku.
Hii siyo hoja! Wanakondoo walimkimbia Yesu mwenyewe, sembuse Kakobe? Yesu alipofundisha Neno gumu, tunasoma katika YOHANA 6:66,"Kwa ajili ya hayo wengi miongoni mwa wanafunzi wake wakarejea nyuma, wasiandamane naye tena." Hata hivyo, pamoja na kuwa wako wanaoikimbia kweli, lakini wako wanaoipenda kweli. Njoo Jumapili moja uone wanaoipenda kweli walivyojazana, usisikie ya kuambiwa.
 
mtoto wake Eze kakobe anendesha noah new model na ana video studio yenye vifaa vya kisasa and expensive

Naomba kujua elimu yake au cv ya huyu mtoto wa Kakobe pengine ntapata kwa kuanzia kuchangia hii mada
 
Nani aje kuyumbishwa mimi simuabudu mtu namuabudu mungu nyie endeleeni kumtafutia huyo jamaa maisha bora kwa sasa hana mpya tena ndio anatafuta pa kuanzia ndo mana unaona yote haya yameanza. Zite ni promo tu wasio na akili waende imani gani ya kujitajirisha mchungaji huku waumini wakizidi kudhoofika siku hadi siku.

Ngonjera hizi zinazidi kukudhalilisha. Kinachotakiwa hapa ni ushahidi wa kujitajirisha uwekwe hapa, kinyume chake uongo wenu umetumbukizwa kuzimu leo!!!!!!!!
 
Endelea kusema ngonjera huku mkeo akivishwa viremba chakavu kila kukicha na wewe ukiwa mlinzi pale nje bila malipo kweli tuna wa tz mzigo isee
 
Mara nyingi hawa watumishi feki wanaweka pesa zao ndani,wanachimba chini kisha wanatunza madola tu.Nadhani Kakobe atakuwa na dola bilioni 1.Msanii Gwajima atakuwa na dola bilioni 2 kwa maana yeye sadaka zote anatia kwapani,hataki hata kununua eneo ajenge.mama rwakatare atakuwa na bilioni 3,Yule mwenye bank atakuwa na bilioni 5,lusekelo nae yuko nyuma yao na anawakimbiza kwa hasira atakuwa na milioni 7.Waacheni wajinga waliwe,hawajazimishwa.


Unadhani ni kwa nini watu hutafuta pesa? Ukipata jibu, jiulize why upate hizo pesa then uishi maisha ya kifukara.

Binafsi natafuta pesa niishi maisha mazuri and not fake life. If I am in a position to ride vogue sport why should I ride starlet?

Hizo pesa kama anawachukulia waumini wake anazitumia wapi kama haishi maisha yanayoendana na hizo pesa anazozichuma?

Let's be logical wakuu!

Note: mimi si muumini wake but najitahidi kucheck nje ya box
 
Uache u zombie wewe,mwaka jana kwenye mkutano wa vyama vya upinzani pale jangwani,alikuja na V8 mpya nyeupe,akiwa na dereva wake na mabodyguard,waliohudhuria mkutano ule ni mashahid,sasa unataka uniambie gari ile ya kifahari anaipaki hapo kwenye hcho kibanda?


Thibitisha mkuu. Nakumbuka kauli yake pia. Kama kuna mtu ana ushahidi wa tofauti na maisha alosema anaishi aweke adharani. Ni wakati wako sasa kumuumbua kakobe.

Ni mda sana toka atoe tamko hilo, sijawahi kuskia mtu alekanusha kauli ya kakobe.

Please, mimi si muumini wa kanisa hilo. Note that
 
Dawa ya waongo na wazushi ni ukweli kuwekwa hadharani! Waongo Wamedanganya sana na wengi kudanganyika lakini kila kitu sasa kimewekwa wazi na kila mmoja popote pale alipo alete ushahidi kukanusha hii taarifa, naona mpaka sasa hakuna aliyeleta!na hawezi kupatikana maana yote yaliyokuwa yanazungumzwa yalikuwa ni uongo na uzushi. Tuache kuuamini uongo na uzushi.Askofu Kakobe ni Mtumishi wa kweli wa Mungu.
 
Back
Top Bottom