Hii hali wadau ndio inaitwaje kitaalamu?

Hii hali wadau ndio inaitwaje kitaalamu?

mcTobby

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2018
Posts
7,157
Reaction score
20,650
Mko poa?
Iko hivi . Huwa najisikia amani sana nikikabeba katoto kachanga. Au nisikie kile kisauti cha kulia cha mtoto mchanga. Huwa najisikia raha na amani fulani hivi moyoni. Hii wadau mmewahi ku experience au ndio dalili za kuitwa baba?..
Na Dem hata sina .
Screenshot_20251109-094809 (1).png
 
Ni ajabu vijana wa sasa ku-normalize kuwa single.

Enzi zetu ingawaje tulikuwa dunia ya giza ila kukosa demu lilikuwa kosa la jinai na jamii ilikuwa inaanza kukutilia mashaka.

Vijana acheni nyeto, zinafanya mnaua ile "Manhood Energy" ambayo huwa haiondoki ukisex na mwanamke, ila ukipiga nyeto inakufa sababu "There is no energy exchange".

Sex between Male & Female is a balanced equeation. Mnafanya energy exchange ambayo inawafanya wote wawili muwe kamili kwenye kila angle.
 
Mkuu kila mtu ana feeling zake Kuna mwingine ata akiona movie watu wanateswa mara ghafla au punde si punde sterling akatokea akawaokoa watajihisi hivyo hivyo moyoni au au au basi nimekosea🫣
 
Ni ajabu vijana wa sasa ku-normalize kuwa single.

Enzi zetu ingawaje tulikuwa dunia ya giza ila kukosa demu lilikuwa kosa la jinai na jamii ilikuwa inaanza kukutilia mashaka.

Vijana acheni nyeto, zinafanya mnaua ile "Manhood Energy" ambayo huwa haiondoki ukisex na mwanamke, ila ukipiga nyeto inakufa sababu "There is no energy exchange".

Sex between Male & Female is a balanced equeation. Mnafanya energy exchange ambayo inawafanya wote wawili muwe kamili kwenye kila angle.
Sawa. Ila hujajikita kwenye mada
 
Unanyota ya kuwahishwa mbingu kisha uzaliwe tena, inaonekana unadhambi nyingi na mambo meusi mengi, hivyo roho yako inatamani ungekuwa malaika uanze maisha upya.
 
Ni kweli man ila ujue The same wind that lifts woman's dress in public is the same wind that blows dust into man's eyes 😎
The same God that makes you fall into a mistake,is still the same God that will prevent others from mocking you or put you in shame.
 
Back
Top Bottom