Mapungufu 8 niliyoyaona kwenye jezi za simba

Mapungufu 8 niliyoyaona kwenye jezi za simba

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
23,011
Reaction score
32,907
MAPUNGUFU KWENYE JEZI YA SIMBA
[emoji3578]Na docky,,,,,, mtafiti,,,,,,,
1. Nembo (logo) haijashonwa, imebandikwa kwa gundi.

2. Mzamini wa bega pia umebandikwa kwa gundi.
3. Wadhamini ni wengi takribani Saba na Bado ata ongezeka wa nane hapo kwenye jezi za CAF.
4.diadora ni nani Hadi awepo kwenye jezi. Mzalishaji sisi tunayemjua ni Jay rutty.
6.Jezi zimezinduliwa saa 4 usiku ila biashara ilianza tokea saa mbili usiku
7. Eti ni kweli ukizifua Zina chuja rangi??[emoji28]
8. Eti Ina mdhamini ambaye ni pombe kwahyo haifai kwendea kanisani Wala msikitini. Ni kweli eti?

,,,, mtafiti,,,,,,nini kimekushangaza_______________

MATOKEO YA MAPUNGUFU HAYA

Jezi hupoteza ubora kwa haraka.

Huwa rahisi kuchanika au kubanduka baada ya muda mfupi.

Inapunguza thamani ya kibiashara na ya kishabiki.

Mashabiki hukosa kuridhika na bidhaa wanazonunua.

Ni bango matangazo kede kede, baango bango.
@highlight
,,,,,,,,, mtafiti.com,,,,,,,,,,,
1756879413104.jpg


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom