WiseLady
JF-Expert Member
- Jan 22, 2010
- 3,268
- 531
nishamuwekea shairi liko pending, nasubiria wapigane kibuti na TF tu nililembee hewani.
oryt oryt,pale utakapo taka ufadhili wangu tu usisite ili mambo yaende sawa
nishamuwekea shairi liko pending, nasubiria wapigane kibuti na TF tu nililembee hewani.
dah ungeliniona ninavyoohuzunika hapa usingeliandika hii post. yaani nimepoteza energy hata ya kufungia zipuni ki log off hapa sasa ndo kimoja hivyo..
TF atakupa story
imani inahimiza upendo nami ninalazimika kutoa upendo ili niupate uzima wa milele . sjui hii aya ni matayo mstari wa ngapi nimesahau kidogo . wiselady ataweka mistari sawahivi kumbe bado unani viziaga ae hahahaha lol
usitusahau zawadi, au unakwenda malawi wewe kuenforce ile sheria mpya?Acha hivyo bwana wanitia machungu na mie ....
tarudigi tu lakini...
imani inahimiza upendo nami ninalazimika kutoa upendo ili niupate uzima wa milele . sjui hii aya ni matayo mstari wa ngapi nimesahau kidogo . wiselady ataweka mistari sawa
hahahahahahahahha lol
oohh dear yaani ntakavyokumiss wewe
na vichekesho vyako mmmhhh
nakosa raha lol
usitusahau zawadi, au unakwenda malawi wewe kuenforce ile sheria mpya?
ni ki log off hapa sasa ndo kimoja hivyo..
TF atakupa story
imani inahimiza upendo nami ninalazimika kutoa upendo ili niupate uzima wa milele . sjui hii aya ni matayo mstari wa ngapi nimesahau kidogo . wiselady ataweka mistari sawa
hahahahahah umeona na signature ya TF ae lol
yeah im gona miss u my Klorokwin nikiumwa tu narudi hahahahah lol
maana sipaamini sana Malawi lol
ni ki log off hapa sasa ndo kimoja hivyo..
TF atakupa story
mistari ntamwandikia kny shairi la welcome back babe afro