beberu_mzalendo
Senior Member
- Dec 11, 2020
- 129
- 103
Mimi sidaiwi na bodi ila nadaiwa mengi sana na nchi yangu kwa mema iliyonitendena na inayoendelea kunitendea 🇹🇿🇹🇿🇹🇿Beberu hudaiwi nini?😂
Mimi sidaiwi na bodi ila nadaiwa mengi sana na nchi yangu kwa mema iliyonitendena na inayoendelea kunitendea 🇹🇿🇹🇿🇹🇿Beberu hudaiwi nini?😂
Usipende kuzungumzia jambo usilolijua.Ndio ujuwe upo nchi ya uchumi wa kati
Siku ukiajiriwa serikalin tu wako na wewe.Nina mpango nianze kutumia TIN ya wife.Na miamala yangu yote ya Benki,M-Pesa sijui Tigo pesa nitakuwa natumia accounts za Mrs.
Tatizo wake zetu hawa nao hawaaminiki.Naomba mke wangu asije akageuka mume ndani ya nyumba yetu.
Kiufupi,nitajiondoa kwenye mifumo yote ya kifedha. Mbona kirusi cha Ukimwi kimekuwa na akili ya kukwepa dawa na tafiti zote dhidi yake. Mimi nitashindwa nini kuwakwepa hao 'kenge' wanaoitwa HESLB?
Yaani hapa bora kusomesha mwana tu.Kama una uwezo hakuna kumpa mtoto deni la kijinga.
Kwanini Mkuu? Au kwavile umegundua sina mpango wa kuwalipa HESLB? Na si mimi tu nisiyetaka kurejesha deni,tupo wengi mno.Ama kweli wewe ni Son of the beach, case closed.
Kama mkiona ulazima wa kutufunga tufungeni tu.Kama Rugemalila na Singh Seth wamekomaa mimi nitashindwa nini kukomaa?ha ha ha, asante ametupa mbinu mpya namna watakwepa kulipa deni la HESLB, itabidi kosa la kutolipa Deni liingizwe kwenye uhujumu uchumi ila liwe na dhamana.
Mimi nakwambia sijapata kuona watu wa ajabu kama bodi ya mikopo...wapo watu wengi wamenufaika na pesa za bodi ya mikopo lakini hawalipi kwa sababu bodi hawana taarifa sahihi kuwakamata...hivyo bodi wanachofanya ni kuwabambikia madeni ya uongo wale wachache waliojitokeza kulipa kwa hiariSasa Passport inahusiana vipi na mkopo? Alaf mbona wanaolipa ni wachache hivyo kulinganisha na waajiriwa.
Sana yaaniMara deni linakua kwa 10% kwa mwaka mara kuna retention fee ya 6%. Bora kusoma/kusomesha kwa cash tu kuliko kubeba msalaba wa HESLB
sema serikali kwenye suala la urejeshaji haijajipanga kivile kwakweli ndo inazinduka usingizini saiviKurejesha si mpaka uwe na shughuli ya maana ama kazi yenye maslahi mazuri😂
hata marekani na uchumi wote ule hakuna anaesoma bure chuo kikuu, sema hii bodi ilikua inatoa mikopo kiholela sana enzi hizo bila kujua itarudi vp, wanakumbuka shuka asubuhiHiyo mikopo ingefanywa Kama hisani au zawadi KWA wote walio fika CHUO KIKUU
Na wote wanao daiwa wasamehewe....
Tubuni NJIA nzuri za kimapato hii nchi Ni tajiri Sana.......
Serikali ya Tanzania iki jipanga tutasomesha bure watoto wetu mpk chuo Kikuu.....
Dah mwamba umenifurahisha sanaNdio wameanza hivyo watakuja hadi kwenye Tigo Pesa, M-Pesa, Airtel Money, T-Pesa, Halopesa na mitandao mingine kibao, Tutakuwa atuweki Pesa, Pesa imeingia tu mtu umetumiwa. Ndugu mteja kiasi cha 100, 000. Kimerejeshwa kwenye mkopo wako wa Heslb Ahsante kwa kutumia Tigo Pesa.
Yes, nakubaliana na wewe...haina haja ya kuwalipa kwa hiari mpaka pale watakapoacha tabia za ubabaishaji na udhalimu..... imagine mtu alisoma chuo kuanzia 2004 mpaka 2008 kwa mfano...kipindi hicho sheria ya 6% VRF na hii 15% ya marejesho zilikuwa hazijatungwa...leo bodi ya mkopo wanaitumia sheria iliyotungwa mwaka 2016 kumuumiza mtu aliyemaliza chuo mwaka 2008...hii kisheria haiwezekani....ni kiburi kilichochanganyika na ubabe na ujinga.Kwanini Mkuu? Au kwavile umegundua sina mpango wa kuwalipa HESLB? Na si mimi tu nisiyetaka kurejesha deni,tupo wengi mno.
Kwanza huyo Magufuli yeye alirejesha lini fedha aliosomeshewa na awamu ya JK Nyerere (au Mwinyi)? Kuna viongozi kibao serikalini ambao walisomeshwa bure na Mzee Nyerere ila hao hao ndo wanakuja kutukazia nati sisi wasaka tonge.
Yaani HESLB imenisomesha kwa less than 20,000,000/= kisha wanakuja kunidai 60,000,000/= , halafu nikubali kiboya boya tu?
Tena meko alipe na retention feeKwanini Mkuu? Au kwavile umegundua sina mpango wa kuwalipa HESLB? Na si mimi tu nisiyetaka kurejesha deni,tupo wengi mno.
Kwanza huyo Magufuli yeye alirejesha lini fedha aliosomeshewa na awamu ya JK Nyerere (au Mwinyi)? Kuna viongozi kibao serikalini ambao walisomeshwa bure na Mzee Nyerere ila hao hao ndo wanakuja kutukazia nati sisi wasaka tonge.
Yaani HESLB imenisomesha kwa less than 20,000,000/= kisha wanakuja kunidai 60,000,000/= , halafu nikubali kiboya boya tu?
Wewe uko nje ya mada....kinacholalamikiwa na wengi ni namna bodi ya mikopo inavyokata mishahara ya watu bila utaratibu....mpaka ifike 2025, jasho la meno lazma liwatoke watu flani, waliodhani ni ufahari kula hela ya bodi na ya mzazi kwa wakati mmoja.
mkuu frustration zitakuua take it easy life is not that seriousWewe si huwa unasema ni Boss na umepewa dereva huko kwenye kitengo chako? Boss gani analialia kurejesha pesa kidogo ya mkopo aliyolipia ada na mahitaji akiwa chuo? Vijana acheni kuishi maisha ya kuigiza humu mitandaoni, ishi maisha yako ya kiuhalisia. Pumbavu.
mwenzanguHahahah si uliendea Billicanas 😂😂😂 au umesahau zile heineken na Redds mlizokuwa mnabugia pale club na mashost zako?
Mimi nakwambia sijapata kuona watu wa ajabu kama bodi ya mikopo...wapo watu wengi wamenufaika na pesa za bodi ya mikopo lakini hawalipi kwa sababu bodi hawana taarifa sahihi kuwakamata...hivyo bodi wanachofanya ni kuwabambikia madeni ya uongo wale wachache waliojitokeza kulipa kwa hiari
Sio kila kitu mpaka uitaje marekani hatahata marekani na uchumi wote ule hakuna anaesoma bure chuo kikuu, sema hii bodi ilikua inatoa mikopo kiholela sana enzi hizo bila kujua itarudi vp, wanakumbuka shuka asubuhi
well, that would be something new, inawezekana lakini sasa ni mpaka iwezekane!Sio kila kitu mpaka uitaje marekani hata
Marekani waje wajifunze kwetu Mm naimani tunao uwezo wa kusomesha bure chuo Kikuu.......
Kuna nchi wameweka kuwalipa raia wake wasio na Kazi na wazee......
Kwenye hili la kusomesha bure chuo Kikuu inawezekanaa narudia Tena inawezekanaa......