HESLB: Batch One Out Now

HESLB: Batch One Out Now

Continuous awamu yao bado ni mpaka wamalizane na first year na kwa mujibu wa board ya mkopo hakuna continuous yoyote aliyepata mkopo
Mbona sijaona Iyo Taarifa Mkuu, nachoona wanaongelea diploma na kukata rufaa tu.
 
Naona dogo ninaempambania kakosa mkopo maana kwa sasa notification iliyopo inasema "Online appeal window will be opened from 8th November......".
 
Continuous awamu yao bado ni mpaka wamalizane na first year na kwa mujibu wa board ya mkopo hakuna continuous yoyote aliyepata mkopo
Hili waliongea kwenye page yao wakati wanamjibu mmoja wa mtoa comment
 
Naona dogo ninaempambania kakosa mkopo maana kwa sasa notification iliyopo inasema "Online appeal window will be opened from 8th November......".
Itakuwa amekosa maana kwa waliopata kwenye application status kuna ujumbe unaosomeka " Congratulations! You have been allocated loan for the year 2023/2024"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom