HESLB: Batch One Out Now

Hongera kapata ada nyingi wengine wanapata 230,000 kwa course hiyo hiyo.
Tunamshukuru sana Mungu kwa yote aliyoyafanya kwa ajili yake.

Tunatoa pole pia kwa hao waliokosa ama kuambulia kiasi kidogo cha mkopo.
 
Toka applications zimeanza naingia na kutoka jamii forum kumpambania mdogo wangu walau kumpa matumaini ya update lakini mpaka sasa hola account haifunguki batch one na two zote hatujapata licha ya kuanbatanisha uthibitisho wa ulemavu wake. Nahisi maumivu makali mno, sijui atajiskiaje nitakapomwambia na batch ya tatu tumekosa
 
Pole yupo mwaka wa ngap?
 
Pole sana.
Mtandao ni shida hali tete
 
Kwani continuous Mwaka hawapati sijaona board ikiwazungumzia
 
Binti mwingine huyu, akaunti yake muda huu inasoma hivi 👇👇

Ni kilio tu mtaani watoto!!
 
Account zikifunnguka tuambizane
Zimerudi mambo ninyale yale
Wait for final...labda ndo ukweli dogo alishakosa kama mdamu mmoja alivyotanabaisha, kama haijasoma SIPA mpaka leo tufanye mengine.
 
Zimerudi mambo ninyale yale
Wait for final...labda ndo ukweli dogo alishakosa kama mdamu mmoja alivyotanabaisha, kama haijasoma SIPA mpaka leo tufanye mengine.
halafu wanaandika wait for final results hahaha haya bana
 
halafu wanaandika wait for final results hahaha haya bana
Naamini leo mambo yatakuwa mubashara mkuu. Kama umeandikiwa wait for final results obviously lazima wakupe hiyo final results hauwezi kubaki hivyo.

Batch zote zilizopita walikuwa wanatoa allocations kwa siku mbili, mfano batch one walianza kutoa kwa baadhi ya akaunti tarehe 20 hadi 21.

Batch two walianza kutoa tarehe 27 ijumaa na wengine waliendelea kupangiwa allocation hadi jumamosi ya tarehe 28.

Kwahiyo huenda na hii batch 3 wakaanza jana hadi leo wakaendelea kwahiyo vuta subira hadi wakiingia kazini asubuhi unaweza kuona mabadiliko kwenye akaunti yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…