HESLB: Batch One Out Now

HESLB: Batch One Out Now

Walisema before 27kasome tena

Ilisemwa on..na sio before bro
IMG_20231102_100004.jpg
IMG_20231102_100004.jpg
 
Mimi ni wait for final results
Mkuu leo ama kesho akaunti yako nina imani itasoma SIPA na allocation utaikita muda huo huo.

Kuna mdau humu ile batch 2 akaunti yake asubuhi ilisoma wait for final results halafu baada ya muda mfupi alivyo login akakuta imebadilika kuwa SIPA na hapo hapo akakuta allocations.

Kuwa na imani najua ndicho kinachoenda kutokea hata kwako.
 
Mkuu leo ama kesho akaunti yako nina imani itasoma SIPA na allocation utaikita muda huo huo.

Kuna mdau humu ile batch 2 akaunti yake asubuhi ilisoma wait for final results halafu baada ya muda mfupi alivyo login akakuta imebadilika kuwa SIPA na hapo hapo akakuta allocations.

Kuwa na imani najua ndicho kinachoenda kutokea hata kwako.
Fact..Ni swala la kuwa na subira...kam Mim nikifikiria hiyo MD gharama kubwa alfu mpaka sasa holaa..nabaki kumwachia Mungu tyu😔
 
Mkuu leo ama kesho akaunti yako nina imani itasoma SIPA na allocation utaikita muda huo huo.

Kuna mdau humu ile batch 2 akaunti yake asubuhi ilisoma wait for final results halafu baada ya muda mfupi alivyo login akakuta imebadilika kuwa SIPA na hapo hapo akakuta allocations.

Kuwa na imani najua ndicho kinachoenda kutokea hata kwako.
Amen mnanipa moyo sana.
Chuo nimeshindwa kwenda hata
 
Fact..Ni swala la kuwa na subira...kam Mim nikifikiria hiyo MD gharama kubwa alfu mpaka sasa holaa..nabaki kumwachia Mungu tyu
Kabisa mkuu tuwe na subira kufikia kesho mambo yatakuwa fresh naamini.
 
Back
Top Bottom