Yimakatso
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 7,770
- 11,227
Usikate tamaa mkuu. Najua situation unayopitia ndugu yangu maana hali za watanzania wengi ni za chini kwahiyo bila support ya mkopo kwakweli kuendelea na masomo ni mtihani mgumu.Yani Kuna muda unatamani kulia sema ndio utu uzima kujikaza, nyumbani umeacha mzazi mgonjwa hadi kuomba hela aibu.
Yote heri lakini![]()
Naamini Mungu atakuona na atajibu maombi yako kikamilifu ili utimize ndoto zako Amiin.



