RealixT
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 1,599
- 2,868
Sawa dada yng
Sawa dada yng
Mkopo utapata Endapo umetimiza vigezo vyao so endelea kuwa na tumaini na ikitokea haujawa allocated Kama upo DSM unaweza kwenda katika ofisi zao kipindi Cha rufaa so kukata rufaa ni bure tu labda ulipie stationary so kuwa na H O P E utapataMie nadhani siamki hadi kesho.
Nmeishiwa nguvu
Oy kuwa na amani rafiki, Leo Leo jibu jibu tutapataMie nadhani siamki hadi kesho.
Nmeishiwa nguvu
I like thisMkopo utapata Endapo umetimiza vigezo vyao so endelea kuwa na tumaini na ikitokea haujawa allocated Kama upo DSM unaweza kwenda katika ofisi zao kipindi Cha rufaa so kukata rufaa ni bure tu labda ulipie stationary so kuwa na H O P E utapata
Naelewa unachomaanisha kuhusu Maisha ya chuo things are not easy hasa ukiwa unatoka familia ambazo bado hazina uhakika wa kula.
You shall overcome stay optimistic![]()
Kukata rufaa mpk ufike ofisin kwao, Kuna maelekezo wanakupa au inakuwaje etiMkopo utapata Endapo umetimiza vigezo vyao so endelea kuwa na tumaini na ikitokea haujawa allocated Kama upo DSM unaweza kwenda katika ofisi zao kipindi Cha rufaa so kukata rufaa ni bure tu labda ulipie stationary so kuwa na H O P E utapata
Naelewa unachomaanisha kuhusu Maisha ya chuo things are not easy hasa ukiwa unatoka familia ambazo bado hazina uhakika wa kula.
You shall overcome stay optimistic![]()
Hiyo sio sababu.....form nyingi zilikuwa hivyoSababu za kuwahi na kuchelewa ni zipi?
Kuna form ya dogo uki review kuna sehemu inasema attach signed pages pana ka tick na rangi ya njano sio green kama zingine.
Inaweza ikawa sababu ya dogo kuchelewa kupata?
Hiyo yellow na tick ni sawa kabisa. Kwani application status yake inasemaje?Sababu za kuwahi na kuchelewa ni zipi?
Kuna form ya dogo uki review kuna sehemu inasema attach signed pages pana ka tick na rangi ya njano sio green kama zingine.
Inaweza ikawa sababu ya dogo kuchelewa kupata?
Got you madameHiyo yellow na tick ni sawa kabisa. Kwani application status yake inasemaje?
Honestly sijui sababu za kuchelewa na kuwahi kupata allocation. Maana hapa nina madogo wawili. Mmoja alimaliza 3 days before deadline lakini ameshapata mkopo. Huyu mwingine alimaliza tangu august, bado anasubiri
Ile ile ya Wait for allocation process..Hiyo yellow na tick ni sawa kabisa. Kwani application status yake inasemaje?
Honestly sijui sababu za kuchelewa na kuwahi kupata allocation. Maana hapa nina madogo wawili. Mmoja alimaliza 3 days before deadline lakini ameshapata mkopo. Huyu mwingine alimaliza tangu august, bado anasubiri
Yani registration mwisho ijumaa ijayo.Mkopo utapata Endapo umetimiza vigezo vyao so endelea kuwa na tumaini na ikitokea haujawa allocated Kama upo DSM unaweza kwenda katika ofisi zao kipindi Cha rufaa so kukata rufaa ni bure tu labda ulipie stationary so kuwa na H O P E utapata
Naelewa unachomaanisha kuhusu Maisha ya chuo things are not easy hasa ukiwa unatoka familia ambazo bado hazina uhakika wa kula.
You shall overcome stay optimistic![]()
Endelea tu kuwa na subiraIle ile ya Wait for allocation process..
Usajili wakisema ijumaa haimaniishi ndo ijumaa hiyo wameweka ila hata ukifanya usajili mwezi wa 12 bado utaruhusiwa then usajili ni ule wa kulipia other charges na sio tuition feesYani registration mwisho ijumaa ijayo.
Sina hata mia Niko tu na nauli za kutoka kwenda kushangaa wenzangu
Hamna sio mpaka ufike ila kwa kuweka msistizo unaweza watimbia ili wakufanyie allocation before hawajatoa majibu ya rufaa easilyKukata rufaa mpk ufike ofisin kwao, Kuna maelekezo wanakupa au inakuwaje eti
Katika MAISHA yako kuwa na Imani hata sio utakapokuwa chuo Sehemu yoyote amini katika Kupata usiamini katika kukosa usiwe negative ,Yani registration mwisho ijumaa ijayo.
Sina hata mia Niko tu na nauli za kutoka kwenda kushangaa wenzangu
Kabisa.Katika MAISHA yako kuwa na Imani hata sio utakapokuwa chuo Sehemu yoyote amini katika Kupata usiamini katika kukosa usiwe negative ,
Utakuja kuelewa baadae umuhimu wa kuwa optimistic Kuna watu huwa wanakata tamaa Mapema Kuna watu hapa last year walitaka kukata tamaa ila mwisho walikata rufaa na wakapata asilimia mia .
Usiwe negative wherever what you going through stay hopefullness
Htrnaskia batch zpo mpk 8 huko msikate tamaa, hii ndio kwnz ya pili vijana safar ni ndefu kweli
Wamesema kbl ya tar 03 NovemberTusubir mwezi wa kumi na moja