Kaparo
JF-Expert Member
- Sep 7, 2013
- 2,230
- 5,416
TayariBado bana
TayariBado bana
hongera chief
Ni mdogo wangu mkuu.hongera chief
Tutumie screenshot
mkuu mbn km hauaminiUko postgraduate au undergraduate? HONGERANimeingia kwenye akaunti ya mdogo wangu naona tayari.
The same to me, nampambania dgo .ila naona mbungi ngumuNi mdogo wangu mkuu.
Embu niazime ufutio nifute yangu yamenichoshaHaya maandishi kwakweli mm nshayachoka wakuu, nayafuteje ili nisiyaone tenaView attachment 2794745
Ambao hawajawahi pitia hii moment hawawezi elewa feeling yake kwakweli,Tuzidi kuwa wavumilivu , japo kuto kutoa hata notification kwenye account ya mtu wanakosea.
nakumbuka miaka ya nyuma, walikua wana updates kuwa haujapangiwa subiria awamu ijayo
Sahihi chiefAmbao hawajawahi pitia hii moment hawawezi elewa feeling yake kwakweli,
Haswaaaa!!Ambao hawajawahi pitia hii moment hawawezi elewa feeling yake kwakweli,
Sema ukipitia page ya HESLB mule Instagram, post za wadau mule ndani unaweza ukacheka hd ukazimia aisee yan watu ni wanahaha balala mixer vilio , matucSahihi chief

Mimi first year nimeanza 2017 ,bodi ya mikopo ilikua maeneo ya mwenge -mpakani dsm. mtu pekee aliyesaidia sana kupata mkopo alikua abduli nondo otherwise ingekula kwanguSema ukipitia page ya HESLB mule Instagram, post za wadau mule ndani unaweza ukacheka hd ukazimia aisee yan watu ni wanahaha balala mixer vilio , matuc![]()
dont ever give up broMwakani mkopo utakuwa bora zaidi!
Serikali iliyopo itakuwa inatafuta namna ya kurudi madarakan.
Mimi na PCB yangu nasubiri mwakan.