Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 32,064
- 91,670
Tena kama hiyo book keeping bora hata physics🥲Mimi sikusoma Physics + Chemistry, niliachana nayo form III, nilichukua Bookkeeping na Commerce.
Tena kama hiyo book keeping bora hata physics🥲Mimi sikusoma Physics + Chemistry, niliachana nayo form III, nilichukua Bookkeeping na Commerce.
Hmm huyu anapenda kusoma mpaka anaboa, alipomaliza tu six akaanza kufundisha tution mpaka sasa! Yuko vzr anajitambua sana!Nina Imani atafanya vizuri, usisahau kumfuatilia maendeleo yake mara moja moja, maana hawa wadogo zetu, huwaga wanajisahau Sana.
Umeona eeh, wanaongelea sijui calculus we unaijua kwani?
Sijui inawasaidia nini kwa sasa🫢
Mwl wa madhe hana hamu na wanafunzi wake! Wachache tu walimuelewa😁Ticha alisema itawasaidia kutengeneza mabeseni huko mbele yale ma curve
Sio mambo yangu brooo😎Broooo ulikosa somo rahisi sana bwana.
Hii ilinikuta yule waziri sintamsahau Unifield science waliita.
Mpaka uchungu wa degree yake uishe anakuwa ameshasota mno!Elimu yetu hii tunasoma vitu vingi ambavyo havina applicability kwenye maisha yetu. Tunachukua muda mwingi kukaa shule pia bila sababu ya msingi. Mbele huko mtu miaka 17/18 ana degree, anaingia kwenye uzalishaji mali. Mtu anamaliza degree ana miaka 22-25, anasota anakuja kupata kazi miaka 30.
Mpaka uchungu wa degree yake uishe anakuwa ameshasota mno!
Itakuwa Yuko poa Sana, ila asiwe tuuh na Matarajio makubwa Sana, wengi wakifika vyuoni wanaanza kukengeuka.Hmm huyu anapenda kusoma mpaka anaboa, alipomaliza tu six akaanza kufundisha tution mpaka sasa! Yuko vzr anajitambua sana!
Wapi Mozambique huko nini nimecheka sana..Kwa mkoa wangu alokua na E ndo aliongoza mkoa mzima
Curve kubwa mwa- mwi watu wakauliza ss ticha hiyo inatusaidia nini huko mbele.Mwl wa madhe hana hamu na wanafunzi wake! Wachache tu walimuelewa😁
Kui derive ile formula, limit, h>0 [h approaching to zero]pale kuna utamu wake pale.
Acha tu bwashee matokeo ya mathematics yanatisha sanaWapi Mozambique huko nini nimecheka sana..
Huyu sidhani, anajitambua sana ana adabu na anajiongoza mara zote! Nitashangaa sana aisee!Itakuwa Yuko poa Sana, ila asiwe tuuh na Matarajio makubwa Sana, wengi wakifika vyuoni wanaanza kukengeuka.
Kuna kipindi E ilikuwa mpango mzima kwenye masomo!Wapi Mozambique huko nini nimecheka sana..
Akawajibu watatengenezea mabeseni! At least makarai utaonekana engineer 😎Curve kubwa mwa- mwi watu wakauliza ss ticha hiyo inatusaidia nini huko mbele.
Ooooh! unaijua log tuanzie hapa kwanza!
Au basi.........kikubwa tujue haya matendo + or - zingine mbwembwe tu!
Hata Mimi nyumbani naheshimika Sana, nilipo fika chuoni, nilikuwa najitambua ni mtu wa dini Sana, kinyume na matarajio yangu nikaanza kubadilika kidogo kidogo.Huyu sidhani, anajitambua sana ana adabu na anajiongoza mara zote! Nitashangaa sana aisee!
Na kama Lecturer ni mpenda vibwenye atatafuna sana.Sasa ukikuta Lecturer anataka kuwaonyesha sifa; course work tuu anashika nusu ya darasa. Anatoa maswali magumu ili awashike. 😊