dega
JF-Expert Member
- Dec 18, 2012
- 3,138
- 3,042
Unakusudia msomi gani??
Sasa kunafaida gani ya kusoma? Msomi anatakiwa aongee lugha fasaha
Sasa kunafaida gani ya kusoma? Msomi anatakiwa aongee lugha fasaha
Mtakosoa Sana , lkin hizo ni minor case Sana coz hata watz wengi nikiwemo Mimi wazalamo huwa wananikosoa maneno mengi na huwa wananicheka
Uwezo wako wakufikiri kukomo chake ni hapo??Wapuuzi nyie,kwan herufi inamsaad gani kwa taifa
Sawa Mkuu,.. "Nani kaanzisha vita vya pili Vya dunia" sio "Nani kaanzisha vita YA pili ya dunia"....asante.
..nimejifunza kuwa tunapaswa kuandika, " vita vya pili vya dunia. "
Utatekwa mkuuNi dhahiri kabisa hizi herufi mbili za R na L zinamtatiza sana Raisi wetu, Mara nyingi ktk hotuba zake amekuwa akisikika kabisa kuzikosea yaani sehemu ambayo alitakiwa kutamka neno Reli, yeye atasema Leli, tena kwa kujiamini,. Ktk Msamiati wa kiswahili neno Leli Lina maana tofauti kabisa.
Ni Mara nyingi sana amekuwa akijichanganya kuhusu herufi hizi, kwa Sisi Watanzania tunamvumilia kwa sababu ni mtu wetu, lakini Tatizo linakuja pale tu anapokuwa nje ya Nchi ambapo inabidi aongee lugha ya Kimataifa, kwa English, penye Herufi R ukibadili na kuweka L, automatic huwa inabadili maana nzima ya unachozungumzia. Na wakati mwingine inaweza hata kuwa ni matusi makubwa. Niwaombe Tu Wahusika kwa Roho safi, Wajitahidi sana kumwelekeza namna nzuri ya kutumia hizi herufi ili Mara nyingine tusije kupata aibu Kama hii inayoendelea ktk mitandao huko Zimbabwe . Pls
Font fedKwani kuna R au L wapi kwenye Hostages?
Na wewe uwahi kushonwa kijambio kirudi kwenye standard size.Ukimaliza hapo kamsaidie na Mwenyekiti wa chadema pia ili awe eye contact iliyonyooka!
Mnataka kwenda kufundisha kiswahili Afrika kusini hayaWasukuma na watu wa kanda ya ziwa wote hawajui matumizi sahihi ya R na L katika misamiati fasaha ya kiswahili,jiwe bhana anazidi kutuhaibisha waTanganyika
Sasa naona mnataka mkuu wa nchi abadilishe lugha ya taifa iwe kisukuma.Ni dhahiri kabisa hizi herufi mbili za R na L zinamtatiza sana Raisi wetu, Mara nyingi ktk hotuba zake amekuwa akisikika kabisa kuzikosea yaani sehemu ambayo alitakiwa kutamka neno Reli, yeye atasema Leli, tena kwa kujiamini,. Ktk Msamiati wa kiswahili neno Leli Lina maana tofauti kabisa.
Ni Mara nyingi sana amekuwa akijichanganya kuhusu herufi hizi, kwa Sisi Watanzania tunamvumilia kwa sababu ni mtu wetu, lakini Tatizo linakuja pale tu anapokuwa nje ya Nchi ambapo inabidi aongee lugha ya Kimataifa, kwa English, penye Herufi R ukibadili na kuweka L, automatic huwa inabadili maana nzima ya unachozungumzia. Na wakati mwingine inaweza hata kuwa ni matusi makubwa. Niwaombe Tu Wahusika kwa Roho safi, Wajitahidi sana kumwelekeza namna nzuri ya kutumia hizi herufi ili Mara nyingine tusije kupata aibu Kama hii inayoendelea ktk mitandao huko Zimbabwe . Pls
Sio rais tu kwani hata humu jf hulioni?Ni dhahiri kabisa hizi herufi mbili za R na L zinamtatiza sana Raisi wetu, Mara nyingi ktk hotuba zake amekuwa akisikika kabisa kuzikosea yaani sehemu ambayo alitakiwa kutamka neno Reli, yeye atasema Leli, tena kwa kujiamini,. Ktk Msamiati wa kiswahili neno Leli Lina maana tofauti kabisa.
Ni Mara nyingi sana amekuwa akijichanganya kuhusu herufi hizi, kwa Sisi Watanzania tunamvumilia kwa sababu ni mtu wetu, lakini Tatizo linakuja pale tu anapokuwa nje ya Nchi ambapo inabidi aongee lugha ya Kimataifa, kwa English, penye Herufi R ukibadili na kuweka L, automatic huwa inabadili maana nzima ya unachozungumzia. Na wakati mwingine inaweza hata kuwa ni matusi makubwa. Niwaombe Tu Wahusika kwa Roho safi, Wajitahidi sana kumwelekeza namna nzuri ya kutumia hizi herufi ili Mara nyingine tusije kupata aibu Kama hii inayoendelea ktk mitandao huko Zimbabwe . Pls
"Ng'wabheja na sio mwabeja"Mkuu hayo mambo ya kawaida sana, usukumani hizo herufi zinatamkwa the same, kwa maana nyingne msukuma aloiva hatumii kabisa R bali L na pia usukumani kwa kufata mila za kisukuma hakuna majina yenye herufi ya R bali majina yote yenye mlengo huo yanapoandika kisukuma huwa ni L tu...mfano Mayala, Malando, Kabula, Milembe, Magufuli nk, so kwa kisukuma hakuna R bali kuna L..
"mwabheja bhagosha"
Wazalamo=WazaramoMtakosoa Sana , lkin hizo ni minor case Sana coz hata watz wengi nikiwemo Mimi wazalamo huwa wananikosoa maneno mengi na huwa wananicheka
Asante mkuu kwa kunitukana