Mystery
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 15,480
- 30,152
Tumesikia madudu ya kutisha, kama yalivyobainishwa na CAG, namna watanzania wenzetu, wasio na uzalendo hata kidogo, namna wanavyotafuna fedha zetu za Umma bila woga, Kwa kutuibia mabilioni ya pesa.
Hivi Hawa watumishi wachache wa Umma, wanatuona watanzania wote kuwa ni wajinga?
Hivi hizi Kodi zote na matozo mbalimbali, tunayokatwa watanzania masikini, kumbe zinawafaidisha watu wachache, ambao wao kazi yao ni Moja tu, kufanya "dili" ya kutuibia?
Ndiyo maana ninasema ni wajibu wa Kiila mtanzania mzalendo, Kwa hivi Sasa, kumsaidia Rais wetu Samia Suluhu Hassan, ambaye ameonsha dhamira njema, Kwa nchi hii, tuizomee bila kuchoka, hii mijizi ya fedha ya Umma, Hadi hapo watakapoona aibu na kuiacha hii tabia mbaya ya wizu, ambayo inaelekea italiangamiza kabisa Taifa letu😎
Hivi Hawa watumishi wachache wa Umma, wanatuona watanzania wote kuwa ni wajinga?
Hivi hizi Kodi zote na matozo mbalimbali, tunayokatwa watanzania masikini, kumbe zinawafaidisha watu wachache, ambao wao kazi yao ni Moja tu, kufanya "dili" ya kutuibia?
Ndiyo maana ninasema ni wajibu wa Kiila mtanzania mzalendo, Kwa hivi Sasa, kumsaidia Rais wetu Samia Suluhu Hassan, ambaye ameonsha dhamira njema, Kwa nchi hii, tuizomee bila kuchoka, hii mijizi ya fedha ya Umma, Hadi hapo watakapoona aibu na kuiacha hii tabia mbaya ya wizu, ambayo inaelekea italiangamiza kabisa Taifa letu😎