Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,158
- 9,171
Kwenye hii nchi kitu chochote kinawezekana. Kuna watu wanafikiria kupata vijisenti bila kujari athari zake kwa vizazi vyote vijavyo!Ndahani,
Hivi ile gesi ya Mtwara bado ni yetu? Nasikia aligawiwa Mmarekani.
Tunanunua kutoka kwake, au nilitaarifiwa vibaya?