Henry Magumo wa ITV huko Zanzibar

Henry Magumo wa ITV huko Zanzibar

Ngoja hao maskari waanzekutumiwa popobawa tu

Ovaa
 
Ngoja hao maskari waanzekutumiwa popobawa tu

Ovaa
 
Nafikiri kulikuwa na matatizo ya mitambo maana delay ilikuwa kubwa sana,tofauti na Azam walivyokuwa wakiwasiliana na ripota wao moja kwa moja.
 
Muvi imeisha cuf wameshindwa vibaya sana itawachukua muda kuwapata wafuasi tena
 
Bibi mmoja kijijini kwetu alifika kwenye kizuizi cha Polisi (tulikuwa tunakiita BELIYA), bila kuelewa kuwa kizuizi kile ni kwa ajili vyombo vya usafiri, alisimama pale mpaka alipofika Askari Polisi kwa ajili ya kumwelekeza njia ya watembea kwa miguu.
Bibi alipoona Askari kamkaribia, alimsalimia, "SIKAMUU POLISI".
 
Mtu yeyote ukiona anaogopa askari wakiwa wametanda ni jambazi-by Suleiman kova aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam
Sahihisho kidogo mkuu, Suleiman kova alikuwa kamanda wa polisi kanda maalum ya dar es salaam na wala siyo mkuu wa mkoa
 
Acha uongo Henry alikuwa ana report vizuri tu kwa uwezo wake na wala hakuwa anatetemeka,maana waandishi walikuwa wengi tu na sio peke yake,na habari za uchaguzi ujue inabidi uwe kasi sana,utoke ahapa uende pale.
Kilichompa tabu ni uelewa wa Zanzibar na Siasa zake,ndio kilimpa tabu saana tofauti na Farouk Karim ambae ni mtoto wa Mjini na amekulia mjini anaijua Zanzibar nje ndani.Na anauwezo wa kwenda na kasi ya matukio
 
Back
Top Bottom