Henry Magumo wa ITV huko Zanzibar

Henry Magumo wa ITV huko Zanzibar

Mtu yeyote ukiona anaogopa askari wakiwa wametanda ni jambazi-by Suleiman kova aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam
mkuu wa mkoa wa dar esalaam!!!!!!! huyu kova ninaye mjua au mwingine!
 
Mhmm mkuu wa mkoa?! acha kupotosha hakunaga mkuu wa mkoa aliyewahi kuteuliwa kwa jina hilo nadhani hizo ofisi za lumumba wamewadanganya. Anyway lumumba ndio eneo la kupika majungu na fitina.
Hahaaa ..... mkoa wa kipolisi kanda ya dar.
 
"......by Suleiman kova aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam"
Kamanda wa polisi kanda maalum.
 
Mtu yeyote ukiona anaogopa askari wakiwa wametanda ni jambazi-by Suleiman kova aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam
Dah hii kali najua wajua kuwa kova hajawahi kuwa mkuu wa mkoa wowote hapa tz
 
Nasikiliza radio one yanayojiri Zanzibar namsikiliza huyu mtangazaji anavyojiumauma. ITV fanyeni substitution haraka anaharibu taaluma za waandishi. Huenda ana tatizo fulani yaani anatetemeka tu.
Nilikuwa natizama itv, jamaa ameripoti kuwa misururu ya wapiga kura ni marefu sana kitu ambacho hakikuwa sahihi, masako aliye kuwa studio ilibidi amwambie kuwa analo sema ni tofauti na kinachoonekana kwenye picha.
 
Waandishi huwa ndio wapiga kelele kuomba wawe wanapewa ulinzi wa kutosha wanapofanya kazi zao! vifaru kama vipo, vipo kwa kuitikia kilio cha waandishi wa habari cha kupewa ulinzi wa kutosha.Hayo ya kuripoti hayawahusu madereva wa vifaru..Kazi ya dereva wa kifaru kuendesha kifaru na mtangazaji kutangaza.Hamna mgongano hapo.
kwa polisi wetu hawa, na muktadha wa tukio linalo endelea, kuzungukwa na polisi siyo uhakika wa usalama kabsaaa! ref. Mwangosi aliye kufa katikati ya kundi la wanao itwa wana usalama!, ktk hali hii mwenye usalama ni yule tuu aliye upande CCM baaasi!!!
 
kama anatetemeka nenda ukaripoti ww acha upumbavu,ujui n nn wameambia au wamenyimwa kutoa habari za ukwel
 
Nilikuwa natizama itv, jamaa ameripoti kuwa misururu ya wapiga kura ni marefu sana kitu ambacho hakikuwa sahihi, masako aliye kuwa studio ilibidi amwambie kuwa analo sema ni tofauti na kinachoonekana kwenye picha.
Ilibidi nikimbilie kwenye tv kuangalia niksona nitofauti nakile nachosikiliza radion.Kuona jina la ripoter ni mabumi kumbe dil limebuma
 
Kwa hiyo Zanzibar kutakuwa na majambazi wengi sana ndiyo maana polisi wamejazwa huko na majambazi yameshindwa kutoka ndani kabisa
Ha ha mkuu nimecheka sana, wazenji ni majambazi ndio maana vifaru Na vikosi toka bara vimeenda kuwadhiti maharamia hao
 
Mtu yeyote ukiona anaogopa askari wakiwa wametanda ni jambazi-by Suleiman kova aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam
Wewe kiumbe Nyaku nyaku kweli ,Kova alikua mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam ??
 
Waandishi huwa ndio wapiga kelele kuomba wawe wanapewa ulinzi wa kutosha wanapofanya kazi zao! vifaru kama vipo, vipo kwa kuitikia kilio cha waandishi wa habari cha kupewa ulinzi wa kutosha.Hayo ya kuripoti hayawahusu madereva wa vifaru..Kazi ya dereva wa kifaru kuendesha kifaru na mtangazaji kutangaza.Hamna mgongano hapo.
Mwangosi kule Nyololo naye alikua ni reporter wa Chanel 10, nini kilimtokea?
 
Mtu yeyote ukiona anaogopa askari wakiwa wametanda ni jambazi-by Suleiman kova aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar es salaam
Kwani Wanaotekwa Na Kufichwa Huko Mafichoni, Wanafanyiwa Hivyo Na Raia Au Vyombo Vya Ulinzi Na Usalama! Tazama Jinsi Vyombo Hivyo Vinavyopuuzia Matukio Hayo!! Yule Mama Mhandishi Wa DW Alichofanyiwa!!! Hivyo Tuwapotoshe Watanzania Humu, Yale Yale Ya Uganda, Now Yanafanywa Tanzania!!!
 
Kumbuka Yaliotokea Nyololo -Iringa Na Juzi Kwa Muandishi Wa DW!! Ndio Tujue Ukweli Wenyewe!!
 
Back
Top Bottom