Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 63,094
- 106,264
Hata wafungwa magereza wanapaona jela pabaya ila hawaondoki.Ajabu ni kwamba unaandika mada hii ukiwa Mbeya na hauna mpango wa kuondoka.
Mbeya ina ladha yake na kama hujaipenda unaondoka
Hata wafungwa magereza wanapaona jela pabaya ila hawaondoki.Ajabu ni kwamba unaandika mada hii ukiwa Mbeya na hauna mpango wa kuondoka.
Mbeya ina ladha yake na kama hujaipenda unaondoka
Ni kuchanganyikiwa kusema Mbeya ni jiji halafu kusema bila Mbeya Tz haili, majiji sio sehemu ya kufanya kilimo na ufugaji bali ni masoko ya mazao na mifugo.Hamna jiji hapa Tz utaenda ukakosa changamoto za namna hiyo hasa ukiwa mwananchi wa kipato cha kati au chini kama wewe(mwajiriwa).
Hamna tabu utaacha kuona kila mkoa utakao tembelea.
Mbeya ni jiji zuri sana, bahati mbaya wengi huwa wanaenda na picha fulani kichwani mwao na wakifika kule hawaikuti hiyo pale mjini.
Mbeya ni bonge la jiji, bila mbeya Tz haili.
Au nasema uongo mmanyani Poor Brain
Mapindigesi unajua ndio yanayoota Mbeya kuliko mkoa mwingine na yanakuwepo tu, unasemaje ukionekana unakula matunda unaulizwa wakati kule matunda yapoyapo tu yaan watu wanafuga hio miti ya matunda ipo tu na wanakula matunda 12 month ahead, unasemaje unaulizwa umeishi Mbeya ipi wewe?Ukionwa unakula matunda laZima uulizwe kama wafanya diet au.
Sio wote wewe utakua unarukia mabaamediPisi Mbeya...hahahahaaa.....zote Zina rangi mbili hadi 4. Uso rangi yake, vidole rangi yake, miguu rangi yake ....ukiona pisi, ni mgeni.
Mengi aliyoyasema ni ukweli nimeishi Mbeya nimekaa Mbeya nimesoma Mbeya suala la vumbi sio uongo ni ukweli kabisa ila ndio hali ya mkoa ulivyo na kuna kipindi cha baridi naona hajakigusia kwamba km huba blanket utaeleza vizuri kwanini huna blanket kuna kipindi baridi inapiga mpaka inapiga tenaUmekaa Tandale kwa Mtogole Buguruni Kwa Mnyamani, halafu unaiponda Mbeya.
Kila mtu wa Dar anajifanya anaishi Posta au Masaki!! Acheni ujinga wenu. Kwanza hamjui ni vigezo gani vinatumika kufanya mahali paitwe Jiji.
Mbeya inajengwa na wananchi wenyewe tofauti na majiji mengine ambayo yanajengwa na Serikali. Mbeya iko kwenye halmashauri 5 zenye uchumi ulio juu hapa nchini, halafu mtu wa Kazuramimba unataka kuiponda Mbeya
Usikalili, Mbeya ni jiji linalolisha nchi.Ni kuchanganyikiwa kusema Mbeya ni jiji halafu kusema bila Mbeya Tz haili, majiji sio sehemu ya kufanya kilimo na ufugaji bali ni masoko ya mazao na mifugo.
Kumbe sio peke yangu. Chips za Mbeya hata sio tamu. Sijui wanakaangajeChips za Mbeya ni sawa na viazi vya kukaanga tu, hazina hadhi ya kuitwa chips.
Mkoa wa Mbeya ndio unalisha mikoa mingi Tanzania. Na sio jiji la MbeyaUsikalili, Mbeya ni jiji linalolisha nchi.
Bila Mbeya dar wanakufa njaa kesho tu
Acha ndoto za mchana, watu wenye pesa hawawezi kufa njaa.Usikalili, Mbeya ni jiji linalolisha nchi.
Bila Mbeya dar wanakufa njaa kesho tu
Kuna mtu hapa eti anasema Mbeya na Dar panafanana. Hadi nimeshangaaNimekaa Mbeya miaka 3 Mara ya kwanza nafika mwenyeji mwangu akanifikishia ilemi nikasema duh huku tena siwez ishi kabisa.
Miaka 3 ikaisha nimepanga ilemi na sikuwa na mpango wa kuhama, nilikuwa narud mida mibovu pqmoja na sifa za ukabaji ila sijawah hata kutishiwa kukaba.
Veta,ituha, isyesye na Iwambi ndio maeneo yaliyosaharibika ila pia ndio maeneo wanaiba sana kuliko ushwahilini.
Palipobaki pamejaa nyumba za tope na vichochoro.
Watu wa Mbeya uwa wanahisi Mbeya iko level moja na dar ndio shida yao.Kuna mtu hapa eti anasema Mbeya na Dar panafanana. Hadi nimeshangaa
Kweli sisi miji yetu yote imepangwa hovyo ila haifanani. Mbeya na Dar ni tofauti mno
Dar ni jiji zuri kimuonekano mara 100 hata ya Mbeya. Kote kuna uswazi ila wa Mbeya mbaya zaidi. Huu ni ukweli ila watu hawataki kukubali
Mbeya Uswahilini kwa quality ya maisha ni bora sana kuliko Dar. Huwezi kukuta maeneo machafu kama uswahilini Dar.Watu wa Mbeya uwa wanahisi Mbeya iko level moja na dar ndio shida yao.
Kwa sisi ambao tunaijua Mbeya na dar Kwa ukaribu.
Dar ushwahilini huwez kuta nyumba ya tope ila Mbeya no sheria, wanasema udongo unasapoti.
Hizi picha za Google za 2010 huko. Huwezi kufananisha uswazi wa Dar na wa Mbeya. NeverMbeya Uswahilini kwa quality ya maisha ni bora sana kuliko Dar. Huwezi kukuta maeneo machafu kama uswahilini Dar.View attachment 3492312 Mbeya mtu hawezi kuishi mahali kama hapa.View attachment 3492313
Kuwa za Google na za 2010's inaondoa kuwa za Dar?Hizi picha za Google za 2010 huko. Huwezi kufananisha uswazi wa Dar na wa Mbeya. Never
Wanavyuo hao ye alikuwa anazungumzia wenyejiMengi uliyoyaandika hususani vumbi, bajaji, chakula na miundombinu ni kweli ila hapa kwa pisi bro umeamua kuponda tu.
Mbeya kuna watoto wakali sana bosi.
Sasa watu tupo 2025 wewe unapost Dar ya 2010? Leta vitu recent tuone kama Dar inafanana na MbeyaKuwa za Google na za 2010's inaondoa kuwa za Dar?
Na vitambiPisi japo sura za wajomba na babu zao ila mizigo ipo bosi. 😂😂😂😂
Unataka kama hizi? Mbeya hamna soko chafu kama hilo. Maisha ya mtu wa uswazi Mbeya ni mazuri kuliko yule wa Dar. Dar kuna uvundo wa kutoka kwenye chemba ambao upo hewani muda wote.Sasa watu tupo 2025 wewe unapost Dar ya 2010? Leta vitu recent tuone kama Dar inafanana na Mbeya
Wewe unadhani miaka 15, Dar imebaki vilevile? Unapost vitu vimepitwa na wakati
Dar inabadilika kwa kasi, Mbeya iko slow kama konokono
Sawa, endelea kujifurahishaUnataka kama hizi? Mbeya hamna soko chafu kama hilo. Maisha ya mtu wa uswazi Mbeya ni mazuri kuliko yule wa Dar. Dar kuna uvundo wa kutoka kwenye chemba ambao upo hewani muda wote.
View attachment 3492345View attachment 3492347
Tatizo ukiona maghorofa na majumba ya Masaki akili inakuambia na wewe unaishi huko. Kumbe unakaa huku.Sawa, endelea kujifurahisha