Hence proved. Mbeya ni kijiji kikubwa

Hence proved. Mbeya ni kijiji kikubwa

Kama Pisi kali zipo kijiji Cha Mbeya naweka kwenye bucket list ya kufanya utalii wa ndani.
 
Ajabu ni kwamba unaandika mada hii ukiwa Mbeya na hauna mpango wa kuondoka.

Mbeya ina ladha yake na kama hujaipenda unaondoka
 
Tanzania Jiji ni Dar, Mwanza kidogo na Arusha. Kwingine huko ni status ya jiji lln uhalisia ni Vijiji tu.

Umenjchekesha kitu, kwamba mtu anaweka taa za kusense usiku, Sijui wana opt kuserve umeme au nn
 
Huu ni uongo labda unazolalaga wewe kulingana na kipato chako ila hotel na guest nyingi za Mbeya ni nzuri.

Kuhusu madem, hapa unaniandikoa kufurahisha genge bro ila kiukweli Mbeya kuna pisi kali sana bro.

Tujitahidi kuwa wakweli kwenye baadhi ya issue bro sio kukandia tu.
Mzee wa Ligi, umevaa visando na soksi nyeupe unatafuta ligi kwa keyboard yako. Haya sema hotel gani Mbeya unaikubali wewe na umewah kulala achana kuangalia kwa nje. Mimi zote unazoziona nazijua zingine reception/mapokezi pazuri kweli pana nafasi ya kutosha ila ukiingia chumban huwezi kugeuka.
 
Back
Top Bottom