Traxtion
JF-Expert Member
- Dec 10, 2021
- 7,612
- 15,548
Mimi sio mkazi wa Dar, ila Mbeya naijua vizuri. Mbeya jiji lote linazidiwa hadi na Mbagala pekee kwa infrastructureTatizo ukiona maghorofa na majumba ya Masaki akili inakuambia na wewe unaishi huko. Kumbe unakaa huku.
View attachment 3492350