Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 30,200
- 87,401
Wewe ukishafika huko?Umefikiwa ndio maana unatetea š
Wewe ukishafika huko?Umefikiwa ndio maana unatetea š
Nimeishi Nairobi pia. Kwani dar haina slums? Zinatofautiana tuUngejua Nairobi ilivyo na slums nyingi hata usingeandika ulichokiandika
We jamaa una stress sana. Wapi nimesema hivyoPili ni ujinga kusema watu wengi wa Mbeya wanaishi Dar ,unaongea Kwa kuropoka waati hata takwimu xinakataa.
Slums za Nairobi zinabreak world records, hadi zimekuwa kivutio cha utaliiNimeishi Nairobi pia. Kwani dar haina slums? Zinatofautiana tu
Dar ina karaha za kiujumla ila kuna karaha ukiwa na pesa huzipati.Mimi naonaga Dar ndio ya aj
U,just imagine watu wanashindia utumbo na Mji unanuka Kila mahala.
Kariakoo kumejaa uchafu Kila sehemu Sasa sijajua huo u speaho wa Dar inayoongoza Kwa mabanda ni upi.
Karaha ni nyingi kuliko rahaDar ina karaha za kiujumla ila kuna karaha ukiwa na pesa huzipati.
Kwa hiyo inategemea kipato cha mtu na eneo unapoishi. Ila generally kuna maeneo mengi mazuri ya khushi tz kuliko dar
Sio kweliKaraha ni nyingi kuliko raha
Hapana nimetokea kizimkazi we maamuma.Kaka unatokea mbeya nini !? š¤£
Yeah sanaWewe ukishafika huko?
Kwa hiyo?Mbeya ni likijiji likubwa
We ke? Umejibu kama KKwa hiyo?
So unatakaje?We ke? Umejibu kama K
Mood swings ni kawaida sikushangaiSo unatakaje?
Tanzania majiji ni Dar na Mwanza lakini Tanzania binadamu waliostarabika kuishi mjini wako manispaa ya Moshi. Manispaa ya moshi ni wasafi, binadamu tunatakiwa tuishi hivyo kijamii. Majiji mengine yakiongozwa na Dar ni machafu mijitu inakojoa hovyo kama mifugo, hawana ustaarabu wa kutupa takataka, jitu linatupa chupa, maganda au mabaki ya vyakula hovyo halafu nalo utakuta likombele kulaumu serikali kuhusu taka. usafi wa mtu mmojammoja unasaidia kuleta hewa safi na mazingira mazuri katika miji. Sema inashangaza inakuwaje wachaga hawapeleki mentality ya usafi sehemu wanazoishi nje ya moshi maana huko kwingine wanakoishi ni wachafu kama watanzania wengine.Tanzania Jiji ni Dar, Mwanza kidogo na Arusha. Kwingine huko ni status ya jiji lln uhalisia ni Vijiji tu.
Umenjchekesha kitu, kwamba mtu anaweka taa za kusense usiku, Sijui wana opt kuserve umeme au nn
Mh! Jiografia yako umefundishwa na mwalimu ganiSiku hizi bondeni siyo Chunya tena, Mto Songwe unamwaga maji Ziwa Rukwa