APEFACE
JF-Expert Member
- Oct 1, 2016
- 6,057
- 11,922
Umekosoa kila kitu mzee, vipi hujaona kitu chochote kizuri kule home.Halafu vijana wengi wa rika fulani hawaogi, wote wananuka harufu hiyo hiyo....wanaogopa maji hatari. Wakija kupata huduma ofisini unatamani umwambie Kaa kwanza pembeni nitakuhudumia ukiwa umekaa ili Ile harufu yake isijae kwenye dirisha lako.
"Ngafi jha ghuso"