Hemed awaangukia mashabiki lakini.......

Hemedi alichofanya sawasawa. Huyo Jaji aelewe kuwa Watanzania hatustahamili upumbavu. Mtu kafika fainali unamwambia hajui kuimba? Huyo jaji ni mshamba kweli.

Hemedi ulichofanya sawasawa wala huna haja ya kuomba radhi kwa mshamba kama yule. Na asikanyage Tanzania.

Vijana wa Tanzania, msikubali wenzenu kudhalilishwa na haya manyang'au. Angemlamba makofi hapo hapo kwenye mashindano. Kalambwa kofi Ruksa kwa kusema hovyo itakuwa huyo mshamba.

Kwahiyo U-jairo, U-baba Riz, U-Zomba, U-fisadi nk sio upumbavu eh?

watanzania hatujui cha kustahimili na kipi na kutostahimili........... we are a confused state, and Hemed is just another rubbish sharo-uharo
 
Hemedi alichofanya sawasawa. Huyo Jaji aelewe kuwa Watanzania hatustahamili upumbavu. Mtu kafika fainali unamwambia hajui kuimba? Huyo jaji ni mshamba kweli.

Hemedi ulichofanya sawasawa wala huna haja ya kuomba radhi kwa mshamba kama yule. Na asikanyage Tanzania.

Vijana wa Tanzania, msikubali wenzenu kudhalilishwa na haya manyang'au. Angemlamba makofi hapo hapo kwenye mashindano. Kalambwa kofi Ruksa kwa kusema hovyo itakuwa huyo mshamba.

Huyu nae hana tofauti yeyote na Hemedi, bila shaka ni pacha wake
 
kwakweli hemedy alichofanya si kizuri ila alichofanyiwa ian nimefurahi sana... i wish angekifanya mtu mwingine asiye mtanzania ingekuwa safi sana kale kajamaa kanatuchukia sana watz.. kifup ckapendi. ila hemed your too much, sikiliza ushauri wa mashabiki wako ingawa mi si mmoja wao
 
hivi mwanaume unakula pipi kijiti kwa maringo huku unarembua unataka tukufanyaje wanaume wenzio?? You are born this way...
 
Jamani wengine hata hatuijui hiyo hemedi imekaa vipi ijapokuuwa anajisifu ni super staa.<br />
<br />
Hebu mwenye picha yake atuwekee tafdhali
<br />
<br />
unaweza tapka ukiina picha yake. Amemzid dada yako kwa kujipamba.
 
Tatizo dogo hakwenda kuimba bali kuuza shepu. Alifikiri yuko kwenye maigizo pale? Ian waz rait dhoo he did more than dare
 
Hemedi ni mbumbumbu tu, i don't think whether he's a really superstar. Tatizo la watu wa aina ya Hemed ni kutokuwa na shule kichwani. Kwanza HAJUI KUIMBA, hata hizo bongo movie alizoonekana ni MADUDU MATUPU. Hakuna kitu pale, i bet HE'S A GAY.
 
Hivi huyu Hemed anaangalia movies kweli au...?? Isijeikawa hakuwa amezaliwa enzi za Egoli; Ian ni actor kwenye Egoli - series moja maarufu sana Africa. Halafu ukitaka kupaa kimataifa katika sanaa, inabidi uwe na heshima na usitafute sifa zisizo za msingi. Sasa anafikiri Tusker watamfikiria hata kidogo kwa kitendo cha kutaka kupigana na Ian...? Yaani badala ya kujenga uhusiano mzuri na wadhamini ili walau awe anapata opportunities zingine yeye anaharibu. Au anafikiri hakuna watu wa kuimba kwenye matamasha ya Tusker...? Hajui other sponsors pia wanaangalia uwezo wake wa ku-control temper pamoja na vituko vyake vya kugombana kwenye tamasha kubwa kama lile East Africa?

Aangalie wenzake walivyokuwa wanarespond kwenye majibu ya Ian. Aangalie mashindano mengi duniani, kama hakuna jaji mmoja anayekuwaga strict...!!

Anaomba msamaha huku anasema hajutii.. toba isiyo ya kweli ni kazi bure..
 
Hivi ukiwa jaji wa haya mashindano ya muziki una ruksa ya kuongea chochote bila kujali athari yake kwa mhusika au ni sehemu ya mitihani wanayotoa kwa hawa watoto wanaoshindana? Mimi huwa siyo mfuatiliaji wa haya mashindano lakini mara chache nilizoangalia niligundua kuwa kuna baadhi ya majaji wanaongea mambo yanayowakera washiriki kiasi mpaka wengine wanalia.

Tata hii ndiyo kawaida kwa mashindano ya aina hii na hata ukiangalia ya nje yako hivyo hivyo - yaani wanakuponda mpaka unaona hufai kabisa. Hii ni katika kukujenga wewe kisaikolojia, kwani usidhani kwamba ukiwa superstaa mashabiki watakusamehe pindi ukivurunda. Watakuzomea na hata kukutwanga au kukurushia nyanya na mayai mabovu, jee na hapo utalia au utamtukana nani?

Lazima vijana wajifunze kuweza kuhimili criticisms, wachukulie kama ni challenge na waboreshe kazi zao ilii ziwe nzuri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom