Jeruh
Member
- Aug 8, 2011
- 77
- 6
<br /><br /><br />
<br /><br />
kumbe wewe ni mshabiki wa Jakaya Mrisho Kikwete?Hivi ni msanii wa kundi gani vile?
<br />
Chukua Chako Mapema band
<br /><br /><br />
<br /><br />
kumbe wewe ni mshabiki wa Jakaya Mrisho Kikwete?Hivi ni msanii wa kundi gani vile?
Hemedi alichofanya sawasawa. Huyo Jaji aelewe kuwa Watanzania hatustahamili upumbavu. Mtu kafika fainali unamwambia hajui kuimba? Huyo jaji ni mshamba kweli.
Hemedi ulichofanya sawasawa wala huna haja ya kuomba radhi kwa mshamba kama yule. Na asikanyage Tanzania.
Vijana wa Tanzania, msikubali wenzenu kudhalilishwa na haya manyang'au. Angemlamba makofi hapo hapo kwenye mashindano. Kalambwa kofi Ruksa kwa kusema hovyo itakuwa huyo mshamba.
Hemedi alichofanya sawasawa. Huyo Jaji aelewe kuwa Watanzania hatustahamili upumbavu. Mtu kafika fainali unamwambia hajui kuimba? Huyo jaji ni mshamba kweli.
Hemedi ulichofanya sawasawa wala huna haja ya kuomba radhi kwa mshamba kama yule. Na asikanyage Tanzania.
Vijana wa Tanzania, msikubali wenzenu kudhalilishwa na haya manyang'au. Angemlamba makofi hapo hapo kwenye mashindano. Kalambwa kofi Ruksa kwa kusema hovyo itakuwa huyo mshamba.
<br />Huyu nae hana tofauti yeyote na Hemedi, bila shaka ni pacha wake
<br /><b><font color="#008000">...if you think Education is expensive, try Ignorance.</font></b>
<br />Jamani wengine hata hatuijui hiyo hemedi imekaa vipi ijapokuuwa anajisifu ni super staa.<br />
<br />
Hebu mwenye picha yake atuwekee tafdhali
Hivi ukiwa jaji wa haya mashindano ya muziki una ruksa ya kuongea chochote bila kujali athari yake kwa mhusika au ni sehemu ya mitihani wanayotoa kwa hawa watoto wanaoshindana? Mimi huwa siyo mfuatiliaji wa haya mashindano lakini mara chache nilizoangalia niligundua kuwa kuna baadhi ya majaji wanaongea mambo yanayowakera washiriki kiasi mpaka wengine wanalia.