Wajinga ndio waliwao, atapata watu, japokuwa ni juzi tu riport ilitoka jinsi babuwaloliondo alivyoua watu
Ungemuhoji vizuri kuhusu hiyo pointi namba 12 na kama anaweza pia kumfanya mtu mrefu awe mfupi,Ungetuandikia. Maana ni kitu hakijawahi kusikika katika maisha hasa kwa maumbile ya mtu kuzaliwa nayo