Ndugu yetu yupo kwenye mtego nchi moja ya hapo Ulaya, tunamtoaje?

BIG STONE AND CONER STONE

JF-Expert Member
Mar 11, 2023
320
495
Ushauri kwa ndugu yetu ambaye yupo masomoni nchi za Ulaya.

Ndefu ila nafupisha kwa kadri ya uwezo. Bro.Wangu anasoma nchi moja hapo Ulaya!

Huyu ni brother alienda Europe 2020 kimasomo katika fani ya afya hivyo amefanikiwa kupata chuo kizuri na kuanza kuishi maisha ya hostel. Hivyo baadae akaomba kazi kwenye hospitali ya private kufanya part time tena hususani mida ya usiku.

Siku moja akaja mwanamke mmoja wa kizungu anaumwa katika kujielezea, madaktari wa kizungu wakagundua hii itakuwa ni malaria sasa bila kuchukua vipimo wakampeleka kwa dokta wa kibongo maana hizi case kwao hawazijui sana kama daktari anayetokea kanda ya Africka atakuwa na utalaamu zaidi na wenzetu wanaangalia uzoefu zaidi.

Dokta Tumwite Charles...

Kufika kwa Charles akamsikiliza, akagundua wiki kama moja nyuma alisafiri kwenda Middle East na india pia hivyo akampima malaria akakutwa nayo, akawa ametafuta dawa akakosa zipo sindano tu! Hivyo akamwandikia sindano.

Akampa nurse wa kike awe anampiga sindano ila mama akachagua Dr. Charles afanye hilo zoezi hata kama kumlipa kwa muda ziada atafanya hivyo.

Kweli zoezi likaanza na Dokta Charles akawa anampiga sindano yule mama wa kizungu tumwite Doris.

Siku siyo nyingi akapona.

Hivyo akawa anajulikana hata home kwa huyo Doris

Hata mumewe Doris akawa anamjua Dokta Charles.

Sasa katika harakati zile yule Doris alimuuliza Charles unaishi wapi ?

Charles akamtajia ila ikawa hizo hostel zipo mbali sana na hospitali anayofanyia kazi.

Hivyo Doris akamwambia kwanini usihamie maeneo ya karibu ? Chale akasema hapa ni town sana na gharama zipo juu' istoshe mm nakaa hostel hivyo nalipia kidogo kama dola 220 hivi kitu ambacho ni affordable kwangu ila hapa town ni kuanzia dola 1,000 hivi hivyo siyo rafiki kwa uchumi wangu.

Doris akamwambia atamsaidia asogee karibu ila sio kwa kumpa pesa bali ampe vielelezo vya hayo malipo hapo hostel kisha aongee na mumewe ili aweze kulipia kiasi hicho hicho kwenye moja ya apartment zao zilizopo maeneo ya town.

Charles akakubali akampa kopi ya mkataba.

Siku chache yule mama Doris akamletea Charles mkataba wa apartment mpya ndani ya town.

Malipo ni dola 200( krona 2000 hivi) tu kwa mwezi discount katoa hapo dola 20 kila mwezi.

Thamani ya apartment pale ni dola 1,700 ( krona sek 17500) mpaka dola 3,500 (krona sek.. 35,945) na wapangaji wapo wengi ndani ya gorofa 12.

Dokta Charles peke yake ndio amepewa favor hiyo.

Mkataba ni miaka 3 na nusu.

Mkataba umenza January 2023.

Baada ya kuhamia sasa Doris anakuja home peke yake kuja kumsalimia Charles siku za wikendi.

Sasa issue ipo japo ni mwenye nyumba akija wapangaji wengine hawamjui wala hata hawana time naye akija huyooo mpaka kwa Dokta Charles.

Watapiga stori wee, wataangalia movie then Doris anaondoka kama kuna cha ziada hajanieleza.

Tatizo limekuja kuna mke wa baharia mmoja wa meli/pilot tuseme ameonesha dalili zote za kumtaka Dokta Charles kwani anaweza kumblock kwenye parking bila sababu za msingi inabidi apande lift hadi gorofa ya 8 kumgongea akitoka sasa alivyo vaa sasa lazima network isimame vilivyo.

Charles anapitia mengi...Tu
Hajui awe rickboy au nn!

Akisema ni mambo ya bongo kimasihara anaweza tekwa atupwe hata baharini , pia shaba inaweza muhusu na yupo nchi za watu.

Gorofa ya tano kuna mke wa afisa wa polisi naye amechukua namba yake huyo mama nae ni askari

Dada anatuma jumbe za mahaba ila dokta anaogopa kujibu kwaajili ya ushahidi anaogopa mumewe anaweza kuona na ana chuma kikali huwa kina ningi'nia kiunoni muda wote akimwona, Hivyo bro ni shida!! Tu hana raha sasa.

Yeye bro anakaa kama floor/ 7 hivi.

Any way ..... Please toa ushauri wa afya hapa ni ufikishe kwa niaba kwa brother Dokta Charles afanye nini?

Mpira uko kwenu wana jukwaaa.

Okay country code ya Dokta Charles hii hapa...+46

Ushauri wenu ni muhimu na kama unatambua hiyo code na umekaa huko elezea maeneo yenye nyumba za bei nafuu ' inaweza kumsaidia pia!!
 
Ushauri kwa Ndugu yetu Ambaye yupo masomoni nchi za Ulaya.
Ndefu Ila nafupisha kwa Kadri ya uwezo ......Bro.wangu Anasoma nchi moja hapo ulaya!
Huyu Ni brother Alienda Europe 2020..alienda kimasomo.
Katika Fani ya Afya hivyo Amefanikiwa kupata chuo kizuri na kuanza kuishi maisha ya hostel ...hivyo baadae Akaomba kazi kwenye hospital ya private kufanya part time Tena hususani mida ya usiku.
Siku moja akaja mwanamke mmoja wa kizungu anaumwa Katika kujielezea , Madaktari wa kizungu wakagundua hii Itakuwa Ni malaria Sasa bila Kuchukua vipimo wakampeleka kwa dokta wa kibongo maana hizi case kwao hawazijui Sana Kama Daktari anayetokea Kanda ya Africa Atakuwa na utalaamu zaidi na wenzetu wanaangalia uzoefu zaidi.
Dokta.Tumwite Charles...
Kufika kwa Charles akamsikiliza , akagundua wiki Kama moja nyuma alisafiri kwenda middle East na India pia hivyo akampima malaria akutwa nayo ..akawa ametafuta dawa akakosa zipo sindano tu! Hivyo akamwandikia sindano.
Akampa nurse wa kike awe Ana mpiga sindano Ila mama aka chagua dr.charles afanye Hilo Zoezi hata Kama kumlipa kwa muda Ziada atafanya hivyo.
Kweli Zoezi likaanza na dokta.. Charles akawa anampiga sindano yule mama wa kizungu...Tumwite Doris.
Siku siyo nyingi akapona.
Hivyo akawa anajulikana hata home kwa Huyo Doris
Hata mumewe Doris akawa anamjua dokta Charles.
Sasa Katika Harakati zile yule Doris alimuuliza Charles..unaishi wapi ?
Charles akamtajia Ila Ikawa Hizo hostel zipo mbali Sana na hospitali anayo fanyia kazi.
Hivyo Doris akamwambia kwanini usihamie maeneo ya Karbu ? Chale akasema hapa ni town Sana na Gharama zipo juu' istoshe mm nakaaa hostel hivyo nalipia kidogo Kama Dola 220 hivi kitu ambacho Ni affordable kwangu Ila hapa town Ni kuanzia Dola 1,000 hivi hivyo siyo Rafiki kwa uchumi wangu.
Doris akamwambia atamsaidia Asogee Karbu Ila sio kwa kumpa pesa Bali ampe vielelezo vya hayo malipo hapo hostel Kisha aongee na mumewe ili aweze kulipia kiasi hicho hicho kwenye moja ya apartment zao zilizopo maeneo ya Town.
Charles akakubali akampa kopi ya mkataba.
Siku chache yule mama ...Doris...akamletea Charles mkataba w Apartment mpya ndani ya Town.
Malipo Ni Dola 200( krona 2000 hivi) tu kwa Mwezi discount katoa hapo Dola 20 kila Mwezi.
Dhamani ya apartment pale Ni Dola 1,700 ( krona sek 17500) mpaka Dola 3,500 (krona sek.. 35,945) na wapangaji wapo wengi ndani ya gorofa 12.
Dokta Charles peke yake ndio Amepewa favor hiyo.
Mkataba Ni miaka 3 na Nusu.
Mkataba umenza January 2023.
Baada ya kuhamia Sasa ...Doris Anakuja home peke yake kuja kumsalimia Charles siku za wikendi ...
Sasa issue ipo japo Ni mwenye nyumba akija wapangaji wengine Hawa mjui Wala hata hawana time naye akija huyooo mpaka kwa Dokta Charles.
Watapiga storii wee, wataangalia movie then Doris anaondoka Kama Kuna Cha ziada hajanieleza.
Tatizo limekuja kuna mke wa baharia mmoja wa meli/pilot tuseme.. ameonesha Dalili zote za kumtaka Dokta Charles kwani anaweza kumblock kwenye parking bila sababu za msingi inabidi apande lift Hadi gorofa ya 8 kumgongea akitoka Sasa alivyo vaa Sasa lazima network isimame vilivyo..
Charles anapitia Mengi...tu
.. hajui awe rickboy au nn!
Akisema Ni Mambo ya bongo kimasihara anaweza tekwa atupwe hata baharini , pia shaba inaweza mhusu na yupo nchi za watu.
Gorofa ya tano Kuna mke wa afisa wa polisi naye amechukua namba yake Huyo mama nae Ni Askari
Dada anatuma jumbe za mahaba...Ila Dokta anaogopa kujibu kwaajili ya ushaidi anaogopa mumewe Anaweza kuona na ana chuma kikali huwa kina ningi'nia kiunoni Muda wote akimwona.... Hivyo bro Ni shida!! Tu Hana Raha sasa.
Yeye bro.anakaa Kama floor/ 7 hivi.
Any way ..... please Toa ushauri wa Afya hapa Ni ufikishe kwa Niaba Kwa brother Dokta Charles afanye Nini?
Mpira uko kwenu Wana jukwaaa.
........Ukizani hii Ni chai ongezea sukari maana hii Ni ya majani tupu! .Haina ladha.
Okay country code ya Dokta Charles hii hapa...+46
Ushauri wenu Ni muhimu na Kama unatambua hiyo code na umekaa huko elezea maenye yenye nyumba za Bei nafuu ' inaweza kumsaidia pia!!
Mkuu ushafeli,umeshindwa kuficha codes za nchi aliyopo huyo ndugu yako ulivyotaja krona tu,huna siri kabisa wewee.

Yaani wazaliwa wa cuba tumeshaju kuwa yupo Sweden huyo ndugu yko na hadi chuo nikutajie chenye hyo hostel iliyo mbali na mji?
 
Ushauri kwa ndugu yetu ambaye yupo masomoni nchi za Ulaya.

Ndefu ila nafupisha kwa kadri ya uwezo. Bro.Wangu anasoma nchi moja hapo Ulaya!

Huyu ni brother alienda Europe 2020 kimasomo katika fani ya afya hivyo amefanikiwa kupata chuo kizuri na kuanza kuishi maisha ya hostel. Hivyo baadae akaomba kazi kwenye hospitali ya private kufanya part time tena hususani mida ya usiku.

Siku moja akaja mwanamke mmoja wa kizungu anaumwa katika kujielezea, madaktari wa kizungu wakagundua hii itakuwa ni malaria sasa bila kuchukua vipimo wakampeleka kwa dokta wa kibongo maana hizi case kwao hawazijui sana kama daktari anayetokea kanda ya Africka atakuwa na utalaamu zaidi na wenzetu wanaangalia uzoefu zaidi.

Dokta Tumwite Charles...

Kufika kwa Charles akamsikiliza, akagundua wiki kama moja nyuma alisafiri kwenda Middle East na india pia hivyo akampima malaria akakutwa nayo, akawa ametafuta dawa akakosa zipo sindano tu! Hivyo akamwandikia sindano.

Akampa nurse wa kike awe anampiga sindano ila mama akachagua Dr. Charles afanye hilo zoezi hata kama kumlipa kwa muda ziada atafanya hivyo.

Kweli zoezi likaanza na Dokta Charles akawa anampiga sindano yule mama wa kizungu tumwite Doris.

Siku siyo nyingi akapona.

Hivyo akawa anajulikana hata home kwa huyo Doris

Hata mumewe Doris akawa anamjua Dokta Charles.

Sasa katika harakati zile yule Doris alimuuliza Charles unaishi wapi ?

Charles akamtajia ila ikawa hizo hostel zipo mbali sana na hospitali anayofanyia kazi.

Hivyo Doris akamwambia kwanini usihamie maeneo ya karibu ? Chale akasema hapa ni town sana na gharama zipo juu' istoshe mm nakaa hostel hivyo nalipia kidogo kama dola 220 hivi kitu ambacho ni affordable kwangu ila hapa town ni kuanzia dola 1,000 hivi hivyo siyo rafiki kwa uchumi wangu.

Doris akamwambia atamsaidia asogee karibu ila sio kwa kumpa pesa bali ampe vielelezo vya hayo malipo hapo hostel kisha aongee na mumewe ili aweze kulipia kiasi hicho hicho kwenye moja ya apartment zao zilizopo maeneo ya town.

Charles akakubali akampa kopi ya mkataba.

Siku chache yule mama Doris akamletea Charles mkataba wa apartment mpya ndani ya town.

Malipo ni dola 200( krona 2000 hivi) tu kwa mwezi discount katoa hapo dola 20 kila mwezi.

Thamani ya apartment pale ni dola 1,700 ( krona sek 17500) mpaka dola 3,500 (krona sek.. 35,945) na wapangaji wapo wengi ndani ya gorofa 12.

Dokta Charles peke yake ndio amepewa favor hiyo.

Mkataba ni miaka 3 na nusu.

Mkataba umenza January 2023.

Baada ya kuhamia sasa Doris anakuja home peke yake kuja kumsalimia Charles siku za wikendi.

Sasa issue ipo japo ni mwenye nyumba akija wapangaji wengine hawamjui wala hata hawana time naye akija huyooo mpaka kwa Dokta Charles.

Watapiga stori wee, wataangalia movie then Doris anaondoka kama kuna cha ziada hajanieleza.

Tatizo limekuja kuna mke wa baharia mmoja wa meli/pilot tuseme ameonesha dalili zote za kumtaka Dokta Charles kwani anaweza kumblock kwenye parking bila sababu za msingi inabidi apande lift hadi gorofa ya 8 kumgongea akitoka sasa alivyo vaa sasa lazima network isimame vilivyo.

Charles anapitia mengi...Tu
Hajui awe rickboy au nn!

Akisema ni mambo ya bongo kimasihara anaweza tekwa atupwe hata baharini , pia shaba inaweza muhusu na yupo nchi za watu.

Gorofa ya tano kuna mke wa afisa wa polisi naye amechukua namba yake huyo mama nae ni askari

Dada anatuma jumbe za mahaba ila dokta anaogopa kujibu kwaajili ya ushahidi anaogopa mumewe anaweza kuona na ana chuma kikali huwa kina ningi'nia kiunoni muda wote akimwona, Hivyo bro ni shida!! Tu hana raha sasa.

Yeye bro anakaa kama floor/ 7 hivi.

Any way ..... Please toa ushauri wa afya hapa ni ufikishe kwa niaba kwa brother Dokta Charles afanye nini?

Mpira uko kwenu wana jukwaaa.

Okay country code ya Dokta Charles hii hapa...+46

Ushauri wenu ni muhimu na kama unatambua hiyo code na umekaa huko elezea maeneo yenye nyumba za bei nafuu ' inaweza kumsaidia pia!!
Charles afuate kilichompeleka Sweden, asiwe na tamaa ya kwenda huku na huko especially na mimama mizee mike ya watu wengine. Atafute msichana wa umri wake especially naye awe doctor waanze maisha ya maana na siyo hayo mambo ya vibibi vya watu ataharibu maisha yake.
 
Ushauri kwa ndugu yetu ambaye yupo masomoni nchi za Ulaya.

Ndefu ila nafupisha kwa kadri ya uwezo. Bro.Wangu anasoma nchi moja hapo Ulaya!

Huyu ni brother alienda Europe 2020 kimasomo katika fani ya afya hivyo amefanikiwa kupata chuo kizuri na kuanza kuishi maisha ya hostel. Hivyo baadae akaomba kazi kwenye hospitali ya private kufanya part time tena hususani mida ya usiku.

Siku moja akaja mwanamke mmoja wa kizungu anaumwa katika kujielezea, madaktari wa kizungu wakagundua hii itakuwa ni malaria sasa bila kuchukua vipimo wakampeleka kwa dokta wa kibongo maana hizi case kwao hawazijui sana kama daktari anayetokea kanda ya Africka atakuwa na utalaamu zaidi na wenzetu wanaangalia uzoefu zaidi.

Dokta Tumwite Charles...

Kufika kwa Charles akamsikiliza, akagundua wiki kama moja nyuma alisafiri kwenda Middle East na india pia hivyo akampima malaria akakutwa nayo, akawa ametafuta dawa akakosa zipo sindano tu! Hivyo akamwandikia sindano.

Akampa nurse wa kike awe anampiga sindano ila mama akachagua Dr. Charles afanye hilo zoezi hata kama kumlipa kwa muda ziada atafanya hivyo.

Kweli zoezi likaanza na Dokta Charles akawa anampiga sindano yule mama wa kizungu tumwite Doris.

Siku siyo nyingi akapona.

Hivyo akawa anajulikana hata home kwa huyo Doris

Hata mumewe Doris akawa anamjua Dokta Charles.

Sasa katika harakati zile yule Doris alimuuliza Charles unaishi wapi ?

Charles akamtajia ila ikawa hizo hostel zipo mbali sana na hospitali anayofanyia kazi.

Hivyo Doris akamwambia kwanini usihamie maeneo ya karibu ? Chale akasema hapa ni town sana na gharama zipo juu' istoshe mm nakaa hostel hivyo nalipia kidogo kama dola 220 hivi kitu ambacho ni affordable kwangu ila hapa town ni kuanzia dola 1,000 hivi hivyo siyo rafiki kwa uchumi wangu.

Doris akamwambia atamsaidia asogee karibu ila sio kwa kumpa pesa bali ampe vielelezo vya hayo malipo hapo hostel kisha aongee na mumewe ili aweze kulipia kiasi hicho hicho kwenye moja ya apartment zao zilizopo maeneo ya town.

Charles akakubali akampa kopi ya mkataba.

Siku chache yule mama Doris akamletea Charles mkataba wa apartment mpya ndani ya town.

Malipo ni dola 200( krona 2000 hivi) tu kwa mwezi discount katoa hapo dola 20 kila mwezi.

Thamani ya apartment pale ni dola 1,700 ( krona sek 17500) mpaka dola 3,500 (krona sek.. 35,945) na wapangaji wapo wengi ndani ya gorofa 12.

Dokta Charles peke yake ndio amepewa favor hiyo.

Mkataba ni miaka 3 na nusu.

Mkataba umenza January 2023.

Baada ya kuhamia sasa Doris anakuja home peke yake kuja kumsalimia Charles siku za wikendi.

Sasa issue ipo japo ni mwenye nyumba akija wapangaji wengine hawamjui wala hata hawana time naye akija huyooo mpaka kwa Dokta Charles.

Watapiga stori wee, wataangalia movie then Doris anaondoka kama kuna cha ziada hajanieleza.

Tatizo limekuja kuna mke wa baharia mmoja wa meli/pilot tuseme ameonesha dalili zote za kumtaka Dokta Charles kwani anaweza kumblock kwenye parking bila sababu za msingi inabidi apande lift hadi gorofa ya 8 kumgongea akitoka sasa alivyo vaa sasa lazima network isimame vilivyo.

Charles anapitia mengi...Tu
Hajui awe rickboy au nn!

Akisema ni mambo ya bongo kimasihara anaweza tekwa atupwe hata baharini , pia shaba inaweza muhusu na yupo nchi za watu.

Gorofa ya tano kuna mke wa afisa wa polisi naye amechukua namba yake huyo mama nae ni askari

Dada anatuma jumbe za mahaba ila dokta anaogopa kujibu kwaajili ya ushahidi anaogopa mumewe anaweza kuona na ana chuma kikali huwa kina ningi'nia kiunoni muda wote akimwona, Hivyo bro ni shida!! Tu hana raha sasa.

Yeye bro anakaa kama floor/ 7 hivi.

Any way ..... Please toa ushauri wa afya hapa ni ufikishe kwa niaba kwa brother Dokta Charles afanye nini?

Mpira uko kwenu wana jukwaaa.

Okay country code ya Dokta Charles hii hapa...+46

Ushauri wenu ni muhimu na kama unatambua hiyo code na umekaa huko elezea maeneo yenye nyumba za bei nafuu ' inaweza kumsaidia pia!!
mwambie awachomeke tu!!!,inawezekana waume zao ni mashoga,sasa ata kama wanaweza kazi lakini wake zao lazma wanawadharaau,,,si unajua ulaya mashoga kama wote na ni halali kisheria!!!.......kama huyo baharia lazima ni mtoto manake baharini wanakuwa wanaume tupu!!!!kwa ivo ni kuchomekana kwenda mbele!!!!! nakumbuka nilipokuwa sekondari nilikuwa nikiishi na wazazi wangu pale sinza,,sasa kuna baharia mmoja likuwa jirani yetu,,,,nakumbuka jamaa alikuwa akikaa kijiweni yeye ushuzi ukim"bana alikuwa anaachia bila aibu,ukimuuliza anasema ulaya kawaida.......baadae sana 2kapata jibu!!!!
 
Mambo madogo kama haya dr mzima mwenye akili timamu na aliyemudu kunyumbulisha yale mafomula ya Organic chemistry hayawezi kumshinda kun'gamua.
Otherwise mwache aendelee kujitoa ufahamu. Ila akili itamkaa sawa siku beretta itapo vutwa trigger katikati ya paji la uso!
 
Back
Top Bottom