PetCash
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 1,997
- 1,998
( Habari zenu wanajamii,
Natumaini mu wazima na mko kwenye majukumu yenu ya kila siku katika kujenga taifa hili, kisha linakuja kubomolewa na wengine.
Any way that is not what I want to say though kila nikiangalia salary slip yangu huwa mawazo ya kizalendo hunijia na hasira za hapa na pale... )<<----hii issue ntaipeleka jukwaa la politiki
Ok tuanze, My love ni msichana mtaratibu, mpole sana, mstaarabu, mwenye heshima na very hard working...Ana interest sana na research na projects zake za wild life na biolojia ya viumbe ambapo hutokea kupishana na mimi kwa sababu mimi na baadhi ya viumbe ni mbalimbali lakini si neno maisha yanaendelea...
Huwa yuko arbsobed na shughuli zake kiasi kwamba ana mahusiano madogo sana na watu na pia ana marafiki wachache..mwanzoni nilidhani ni kwa sababu yuko busy na kazi zake ila nikajagundua vitu vingine vinavyochangia.
Ana mahusiano machache si kwa sababu ni mgomvi hapana ila huchukulia vitu watu wanavyomwambia seriously wakati vingine sio, na vingine ni mitazamo tu ya watu. Labda anaweza kukosea kidogo mtu ukamwambia, 'Wewe ni mzembe sana'. Basi neno hilo litamwingia akashinda siku nzima hana raha! Kesho yake anafanya kazi too much ili kujaribu kufidia kasoro yake hiyo ya uzembe ambayo ni mtazamo tu wa mtu..
Yani most of the times akinijia huwa mnyonge kutokana na alichoambiwa huko atokako..
Nimejaribu kumuelewesha asichukulie kila kitu seriously kwa kumuambia jinsi alivyo na tabia positive kwa asilimia kubwa kwenye kila category.
Matokeo yake I'm her best best friend...yani she will tell me everything hata vingine ambavyo mimi nadhani angehitaji msaada kutoka kwa rafiki zake wa kike but she doesn't trust watu wengi..labda unaweza kuta confidant wake wa kike yuko mbali na anahitaji advice ya karibu..
Nimejaribu kumuencourage kuanzisha urafiki na baadhi ya wasichana ninaowaona wataendana lakini ni mgumu sana kuwa close na mtu..
Kwa kweli inapendeza sana ukiwa the best of friends kwa mwenzi wako na nnafurahi sana, lakini she really could use a good friend from among girls...
Naomba mnishauri nitumie mbinu gani kumtafutia rafiki kwa sababu kila nnayemtafuta wanakuwa hawako close enough ili nimsaidie awe na a lot of girlfriends labda ndo atakuwa na furaha ili nipungukiwe na kumbembeleza...
(Sisemi ni mzigo ila inapendeza saa nyingine mtu akija na tabasamu-hata kama unastress zinaweza kusubside )
Natumaini mu wazima na mko kwenye majukumu yenu ya kila siku katika kujenga taifa hili, kisha linakuja kubomolewa na wengine.
Any way that is not what I want to say though kila nikiangalia salary slip yangu huwa mawazo ya kizalendo hunijia na hasira za hapa na pale... )<<----hii issue ntaipeleka jukwaa la politiki
Ok tuanze, My love ni msichana mtaratibu, mpole sana, mstaarabu, mwenye heshima na very hard working...Ana interest sana na research na projects zake za wild life na biolojia ya viumbe ambapo hutokea kupishana na mimi kwa sababu mimi na baadhi ya viumbe ni mbalimbali lakini si neno maisha yanaendelea...
Huwa yuko arbsobed na shughuli zake kiasi kwamba ana mahusiano madogo sana na watu na pia ana marafiki wachache..mwanzoni nilidhani ni kwa sababu yuko busy na kazi zake ila nikajagundua vitu vingine vinavyochangia.
Ana mahusiano machache si kwa sababu ni mgomvi hapana ila huchukulia vitu watu wanavyomwambia seriously wakati vingine sio, na vingine ni mitazamo tu ya watu. Labda anaweza kukosea kidogo mtu ukamwambia, 'Wewe ni mzembe sana'. Basi neno hilo litamwingia akashinda siku nzima hana raha! Kesho yake anafanya kazi too much ili kujaribu kufidia kasoro yake hiyo ya uzembe ambayo ni mtazamo tu wa mtu..
Yani most of the times akinijia huwa mnyonge kutokana na alichoambiwa huko atokako..
Nimejaribu kumuelewesha asichukulie kila kitu seriously kwa kumuambia jinsi alivyo na tabia positive kwa asilimia kubwa kwenye kila category.
Matokeo yake I'm her best best friend...yani she will tell me everything hata vingine ambavyo mimi nadhani angehitaji msaada kutoka kwa rafiki zake wa kike but she doesn't trust watu wengi..labda unaweza kuta confidant wake wa kike yuko mbali na anahitaji advice ya karibu..
Nimejaribu kumuencourage kuanzisha urafiki na baadhi ya wasichana ninaowaona wataendana lakini ni mgumu sana kuwa close na mtu..
Kwa kweli inapendeza sana ukiwa the best of friends kwa mwenzi wako na nnafurahi sana, lakini she really could use a good friend from among girls...
Naomba mnishauri nitumie mbinu gani kumtafutia rafiki kwa sababu kila nnayemtafuta wanakuwa hawako close enough ili nimsaidie awe na a lot of girlfriends labda ndo atakuwa na furaha ili nipungukiwe na kumbembeleza...
(Sisemi ni mzigo ila inapendeza saa nyingine mtu akija na tabasamu-hata kama unastress zinaweza kusubside )