Hello naomba msaada

Hello naomba msaada

Hapo Dodoma alikuwa akiishi na nani hana hata rafiki au ndugu au mtu wake wa karibu mfanye mawasiliano nae.
 
Sijakuelewa,lakini umenikumbusha kuna dada akiwa hukohuko Dodoma alikamatwa na polisi wakampa kesi ya uraia ila polisi Mungu anawaona🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kesibyavuraia ikoje?
 
Aliibiwa simu,matapeli yanaitumia kujinufaisha,kaeni kimya mpaka pale atakapowatafuta yeye mwenyewe.
 
Back
Top Bottom