TUKANA UONE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2018
- 2,825
- 8,556
Mkuu ilipaswa ueleze unataka wadau wakusaidie nini?
Eti eh mbona sasa hapatikani hewaniMsimtafute yupo kwenye mikono salama kuliko hata angekuwa nyumbani kwake.
Nimpate tu alipo maana hapatikani hewani leo ni siku ya 2Mkuu ilipaswa ueleze unataka wadau wakusaidie nini?
Mimi nipo serious sipo kwenye.matani kwa sasa kama hutaki kunisaidia basiiYaani hapo Kuna mtu at anasa sio punde 😂
Anakula maisha aliyokuwa akiyakosa mtaani.Eti eh mbona sasa hapatikani hewani
Hapo inabidi utafte ndugu wa karibu, ndo atakaye kusaidia. PeroidMimi nipo serious sipo kwenye.matani kwa sasa kama hutaki kunisaidia basii
Sasa hakuna msaada kweli humu??Anakula maisha aliyokuwa akiyakosa mtaani.
Huko hatunagaHapo inabidi utafte ndugu wa karibu, ndo atakaye kusaidia. Peroid
Kama amekujulisha amekamatwa na anahitaji dhamana kwanini msiende Hapo Dodoma vituo vya Polisi kuulizia?Nimpate tu alipo maana hapatikani hewani leo ni siku ya 2
Unamaanisha nini mrembo? Yaani huyo ni ndugu yako na hamna ndugu au rafiki wa karibu baina yenu?Huko hatunaga
Sisi tupo Arusha hatupo dodomaUnamaanisha nini mrembo? Yaani huyo ni ndugu yako na hamna ndugu au rafiki wa karibu baina yenu?
Amekuambia ana shida? Acha kujipendekeza.Sasa hakuna msaada kweli humu??
OK fair, so hapo nimeanza kukupata na huyo mtu ni mgeni huko sio?Sisi tupo Arusha hatupo dodoma
Amesema anaomba mdhamana kuanzia hapo hapatikani ilikuwa janaAmekuambia ana shida? Acha kujipendekeza.
NdioOK fair, so hapo nimeanza kukupata na huyo mtu ni mgeni huko sio?
Poleni sana, Inaumiza na polisi hamwezi kwenda mnahofia huenda wanamtafta pia. Cha kushauri tulieni. Na ikiwezekana huu uzi ufute kabisa.Ndio
Wakati anayasema hayo alikuwa hajaanza kupata huduma ya kifalme.Amesema anaomba mdhamana kuanzia hapo hapatikani ilikuwa jana