jojipoji koromije
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 1,127
- 1,634
Hiyo hiyo unayoifanya. Kijacho anaendeleaje?Kazi gani
Hiyo hiyo unayoifanya. Kijacho anaendeleaje?Kazi gani
Hahahah aiseee nakumbuka sisi waliuziwa hadi chaga na ada ya BAFU NA CHOO😎Unanikumbusha mbaaaaaaali huko. Kipindi form 5 wanareport shule, basi form six huwachukua na kuwauzia vitanda, canteen's tozo, yaani ili mradi tu kuwakomoa. Wale jamaa hawakuwa fair kabisa.
Sijui anaendeleajeHiyo hiyo unayoifanya. Kijacho anaendeleaje?
Hiyo haloo haloo.Mimi ni mgeni naomba mnipokee pia naomba support yenu
FemaleHiyo haloo haloo.
.we jinsia gami?
Weee kumbe huna taarifa kama na mimi nalipwa na wengine wenye zaidinya miaka mi5 kwenye gemuTunaolipwa ni mimi na Harmful 🤣
KaribuFemale
Mie huku nina umri wa mpiga kura...na sili hata mia....na sina mpango...Weee kumbe huna taarifa kama na mimi nalipwa na wengine wenye zaidinya miaka mi5 kwenye gemu
Unaomba support ya nini mgeni AsuHkLMimi ni mgeni naomba mnipokee pia naomba support yenu
Hahahah aiseee 🤣🤣, jeiefu raha sanaMie huku nina umri wa mpiga kura...na sili hata mia....na sina mpango...
Ila waniruhusu tu kutoa stress...kutukana kidooogo ni tiba.....
Unapajua Vikundu wewe😂Vikundu? Au Vikindu?
Afu Wee Ni Asumini, na umesoma HKL advance?
😂😂😂😂😂
IDs zako za zamani ndiyo umeziacha kabisa au umezipumzisha tu kwa muda au umepanga kuwa utakuwa unatiririka nazo zote nne simultaneously.Mnanichanganya passport tena?
Wacha wee, 😂😂😂😂Chukua kazi hiyo mkablendike
Si nimeona hapo kwa jina lako. 😂😂😂😂Ndio mimi ni asumini umejuaje😁 nimesoma HKL NDIO
😂😂😂😂😂😘 karibu naitwa Lamomy, muungwana wowote akikutongoza pm ni add nikusaidie kufatilia mazungumzo yenu wasije kukudanganya..!!
Mimi nipo kitengo cha kudhibiti majambazi wa mapenzi okay?
😂😂😂😂😂Unapajua Vikundu wewe😂
Vikundu hoye😂😂😂😂😂