Hello Hello naomba mnipokee

Hello Hello naomba mnipokee

Bro AsuHkL... karibu sana jamvini. 😎

-Kaveli-
 
Karibu sana mkuu umelipia tozo lakini??

Kuna tozo ya kiingilio😉😉
Unanikumbusha mbaaaaaaali huko. Kipindi form 5 wanareport shule, basi form six huwachukua na kuwauzia vitanda, canteen's tozo, yaani ili mradi tu kuwakomoa. Wale jamaa hawakuwa fair kabisa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom