MAGEUZI KWELI
JF-Expert Member
- Jul 16, 2011
- 1,947
- 253
Chadema walianza na wengine wamefuata..huko ni kutumia Masaburi kufikiri mambo......
naomba marufuku za ruzuku
Hayo maneno nadhani ungewambia CDM wana miaka mingi wanatumia Helkopta.
Na posho za maandamano ni ufujaji mkubwa wa kodi zetu Watanzania wapenda amani
Helikopta zinawasumbua wananchi wa Igunga.
Mbona wananchi wa Karatu na Moshi hawakusema kama Helkopta zilikuwa zinawasumbua kwenye kampeni
Majibu ya muhogo mchungu haya. Kama kiongozi wako.
Wote wanaofuja pesa za walipa kodi ni wezi watupu!!Helkopta zinasaidia kufika maeneo ambayo kwa njia za magari hayawezi kufika huko.Kuhusu gharama hilo ni jambo la kawaida sana na hakuna njia ya kukwepa gharama pia kodi zetu wananchi masikini unazozilalamikia na kuziona ktk helkopta tu ungekuwa muungwana kidogo kwa kuballance mambo.DOWANS WAMEKOMBA BILIONI 112 PMJ NA RIBA NDANI YAKE,hizi pesa nyingi zinazoibwa kiuwazi chini ya Serikali hii ya Tanzania iliyotokana na chama cha Mapinduzi hujaziona kabisa Kama ni wizi mkubwa!!!?
Waulize CUF waliokurupuka kuazima helkopita bila kujua faida na hasara yake.
Wabongo kwa kurukia mabingwa mimi sijasema chama chochote miminilichokuwa najaribu kueleza nikuhusu udogo wa jimbo maana jimbo la igunga barabara zake nyingi zinapitika ajabu kuona mihelikopiter inavuma utadhani ni afghanistan!Kajimbo kenyewe kadogo!Kwa CHADEMA kwa nini walikuwa wanatumia Helkopiter siku nyingi mimi naweza kusema hivi!:-Kama siyokufuja pesa za walipa kodi nini?naomba hapa tuwekane wazi mimi sioni mantiki kwa vyama kutumia gharama zilizopitiliza kwa kukodi helkopiter kwa ajili ya chaguzi ndogo kama Igunga kwani ni rahisi kufikika!
Gharama inayotumika kwa jimbo moja ni ufujaji wa kodi! Au helkopiter ni turufu katika uchaguzi? Mimi hili napingana nalo labda nasema labda kama hizo helkopiter hazitumii sehemu ya ruzuku ambayo nikodi yangu!
Naomba maelezo yenu.
una uhakika kama barabara za Igunga ni nzuri? hebu fanya mahesabu yako.. unaweza kufanya mikutano zaidi ya tano kama utatumia gari? hata kama barabara ni nzuri!Wabongo kwa kurukia mabingwa mimi sijasema chama chochote miminilichokuwa najaribu kueleza nikuhusu udogo wa jimbo maana jimbo la igunga barabara zake nyingi zinapitika ajabu kuona mihelikopiter inavuma utadhani ni afghanistan!Kajimbo kenyewe kadogo!Kwa CHADEMA kwa nini walikuwa wanatumia Helkopiter siku nyingi mimi naweza kusema hivi!:-
(a) Kwanza wao hawana nyenzo za usafiri wakati wa uchaghuzi mkuu!hivyo wao walilazimika kuwa na nyenzo kama helkopiter kwakuwawezesha kukimbiza mda kutokana na ratiba yao waliyokuwa wanapewa kwani nyingi ilikuwa zinaishia jioni na mikutano zaidi ya miwili!
(b) Pili CCM wana supoti kuwa mikoani kuanzia ngazi ya RC,DC mpaka tarafa wao wanapewa nyenzo hivyo unakuta ushindani wa uwanja ni mpana kwa CDM.Lakini kwa jimbo kama Igunga hapana hapa ni ufiujaji kwa wote waliotumia Helkopiter fullstop!
Mbona wananchi wa Karatu na Moshi hawakusema kama Helkopta zilikuwa zinawasumbua kwenye kampeni
Mbona wananchi wa Karatu na Moshi hawakusema kama Helkopta zilikuwa zinawasumbua kwenye kampeni
Moshi miundo mbinu yake ni bomba hatuitaji helkopter
Zinasaidia usafiri. Hapa kwetu helikopta ni kitu cha ajabu kutumika, kwa ushamba wetu na kutokuwa na "exposure". Wenzetu wanazitumia kama Taxi na njia moja muhimu ya usafiri.
Hainishangazi kuwa helikopta ni ajabu kwetu, kwani hata magari bado ni anasa hapa kwetu na mafanikio ya mtu hadi hii leo hapa kwetu yanapimwa kwa kuwa na au kutokuwa na gari. Seuse "Helicopter".
wewe mpuuzi ndesamburo akitumia helkopta hakuna tatizo hizo ni pesa zake na si za walipa kodi elewa wewe,ninawasiwais na upeo wako wa kufikiriNdesamburo alikuwa anatumia nini Bodaboda au Ungo?