ipogolo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 6,275
- 5,961
nI PESA ZAKE? Kazitoa wapi? hakuna pesa isiyo ya walipa kodi, hata kama ni za madawa ya kulevya lazima mkono wa mlipa kodi utahusika. Pole sanawewe mpuuzi ndesamburo akitumia helkopta hakuna tatizo hizo ni pesa zake na si za walipa kodi elewa wewe,ninawasiwais na upeo wako wa kufikiri