Mwezeshaji1
Senior Member
- Sep 26, 2023
- 140
- 306
Natoa pole na pongezi kwa yeyote mwenye kutafuta riziki yake, mchezo sio mdogo🙌🏾, Mungu MKUU na atutangulie!
Chamsingi mkono uende kinywaniMi ndo Sina Hela kabisa,bado nguvu kipengele
Ni kama nalionaga kaburi Lile pale..
Mungu tu ananiokoa kupitia malaika wake
Pole mwayaMi ndo Sina Hela kabisa,bado nguvu kipengele
Ni kama nalionaga kaburi Lile pale..
Mungu tu ananiokoa kupitia malaika wake
Kutega nako kunahitaji mbinu na mbinu zinataka nguvu ya akili, subra, mtaji n.kKuna wengine wanasema inategwa waje kutupa muongozo
Na siku za kukosa siku hizi ni nyingi kuliko kupata nachanganyikiwa kabisa 😭Usiombee siku uzikose kabisa una data kabisa
Pole ndugu yanguNa siku za kukosa siku hizi ni nyingi kuliko kupata nachanganyikiwa kabisa 😭
Pole sana endelea kumtumainia Mungu utapia ktk hilo, mitihani ni yetu ndugu.Mi ndo Sina Hela kabisa,bado nguvu kipengele
Ni kama nalionaga kaburi Lile pale..
Mungu tu ananiokoa kupitia malaika wake
Hakuna kukata tamaa madam, hii dunia mwenye nguvu ndio anasurvive. Ndio maana unaona kuna wachomq chapati, maandazi, vitumbua, wauza nyanya na mbogamboga njiani. Ili usurvive lazima ufanye jambo, hata dogo tu.Mi ndo Sina Hela kabisa,bado nguvu kipengele
Ni kama nalionaga kaburi Lile pale..
Mungu tu ananiokoa kupitia malaika wake
Amina.kuna muda nataka nipike bidhaa nitembeze ila Sasa huku gongo huku mzigo changamoto.wale vijana wa kuajiri nao naambiwa wajeuri anaeweza akauza akatokomea zake huko na mauzo.wengi wameibiwaPole sana endelea kumtumainia Mungu utapia ktk hilo, mitihani ni yetu ndugu.
Acha kabisa, ila walau uwe kwenye kuweka mfumo ili zije, mfano: mteja hajapatikana ila umewaambia watu una mzigo, siku haipiti bila kusogeza tofaliUsiombee siku uzikose kabisa una data kabisa
Ni kweli kukata tamaa ni dhambi kubwa sana, mitihani ni sehemu ya maisha yetu na kujifunza kwa pale tunapo kosea kila tunapo jaribu kufanya kile kitu cha kutuingizia kipato. Zuluma ktk utafutaji hututafuna na kutuharibia imani na Baraka kwa kila tukifanyacho.Hakuna kukata tamaa madam, hii dunia mwenye nguvu ndio anasurvive. Ndio maana unaona kuna wachomq chapati, maandazi, vitumbua, wauza nyanya na mbogamboga njiani. Ili usurvive lazima ufanye jambo, hata dogo tu.
Hakuna kukata tamaa, weka hiyo akilini.
Wazee waje watusimulie🙌🏾, si mchezoooEm wazee watuambie,na wao enzi zao mtanange ulikua mkali hivi hivi? Maana dah 😢
Nafanya.lakini najikuta natamani kukifanya kwenye ubora zaidi.na kuhitaji wa nguvu ndipo unapotokea.maana hata kile nkifanyacho hakikidhi mahitajiHakuna kukata tamaa madam, hii dunia mwenye nguvu ndio anasurvive. Ndio maana unaona kuna wachomq chapati, maandazi, vitumbua, wauza nyanya na mbogamboga njiani. Ili usurvive lazima ufanye jambo, hata dogo tu.
Hakuna kukata tamaa, weka hiyo akilini.
Tukaze, wanasema mtafutaji hachokiNa siku za kukosa siku hizi ni nyingi kuliko kupata nachanganyikiwa kabisa 😭