Hekima inaelekeza Jaji Mkuu kujiuzulu

Hamatan

JF-Expert Member
Nov 10, 2020
3,183
7,645
Kesi ya Mbowe na wenzake imethibitisha ubovu wa mahakama ya Tanzania. Ni dhahiri chombo hiki si huru na wala hakina uadilifu. Mahakama inashirikiana na mawakili wa Serikali kutoa nyaraka za mahakama kuwapa mashahidi wa upande wa Serikali. Jambo hili limethibitika wazi.

Jambo la kushangaza ni kuwa uongozi wa mahakama upo kimya! Kama tungekuwa na Jaji Mkuu mwenye hekima, angejiuzulu. Kashfa hii ni kubwa sana.

Mbowe na wenzake, kwa uthibitisho huu wa mahakama kushirikiana na washtaka wao, wana haki ya kutamka wazi kuwa hawana imani na hii mahakama, na hivyo utafutwe utaratibu mwingine wa kuendesha shauri lao, nje ya chombo hiki kilichotekwa nyara na Serikali.
 
Kesi ya Mbowe na wenzake imethibitisha ubovu wa mahakama ya Tanzania. Ni dhahiri chombo hiki si huru na wala hakina uadilifu. Mahakama inashirikiana na mawakili wa Serikali kutoa nyaraka za mahakama kuwapa mashahidi wa upande wa Serikali. Jambo hili limethibitika wazi.

Jambo la kushangaza ni kuwa uongozi wa mahakama upo kimya! Kama tungekuwa na Jaji Mkuu mwenye hekima, angejiuzulu. Kashfa hii ni kubwa sana.

Mbowe na wenzake, kwa uthibitisho huu wa mahakama kushirikiana na washtaka wao, wana haki ya kutamka wazi kuwa hawana imani na hii mahakama, na hivyo utafutwe utaratibu mwingine wa kuendesha shauri lao, nje ya chombo hiki kilichotekwa nyara na Serikali.
Hapana wa kujiuzuru sio jaji mkuu ni mtunza nyaraka za mahakama court custodian
 
Kesi ya Mbowe na wenzake imethibitisha ubovu wa mahakama ya Tanzania. Ni dhahiri chombo hiki si huru na wala hakina uadilifu. Mahakama inashirikiana na mawakili wa Serikali kutoa nyaraka za mahakama kuwapa mashahidi wa upande wa Serikali. Jambo hili limethibitika wazi.

Jambo la kushangaza ni kuwa uongozi wa mahakama upo kimya! Kama tungekuwa na Jaji Mkuu mwenye hekima, angejiuzulu. Kashfa hii ni kubwa sana.

Mbowe na wenzake, kwa uthibitisho huu wa mahakama kushirikiana na washtaka wao, wana haki ya kutamka wazi kuwa hawana imani na hii mahakama, na hivyo utafutwe utaratibu mwingine wa kuendesha shauri lao, nje ya chombo hiki kilichotekwa nyara na Serikali.
Kesi hii inatengeneza ushahidi hatua kwa hatua wa kuja kufunguliwa kesi nyingine ya kikatiba , kesi ngazi ya mahakama ya Afrika mashariki na kesi kwenye mahakama ya Amnesty International
 
JUDICIARY yetu ipo captured,kama utaishi maisha marefu ya kuja kushughudia jaji mkuu hadi majaji wakiomba kujaza hizi nafasi na wakifanyiwa usaili kama wengine wanavyofanyiwa,hapo ndipo mhimili hiu itakuwa independent,for now tuendeleee kusubiria Noah zetu pale bandari yetu kuu ya Tabora!
 
Mtendaji mkuu wa mahakama huteuliwa kutoka serikalini.

Jaji mkuu yuko chini ya waziri wa Katiba na Sheria.

Spika yuko chini ya wananchi

Nadhani nimeeleweka.
 
Yaani MTU ajiuzulu aache mshahara wa mamilioni,rushwa za mamilioni,gari la mamilioni,posho za mamilioni,kutetemekewa na watu mamilioni...
Watu hamumtendei haki huyumtu!! Badala mmwambie aendelee kukandamiza side B na kujikomba side A kama mwishmiwa zu zu ili aongezewe muda na miposho!!
Dawa in katiba mpya mbali nahapo ujinga niwetu wananchi sio haoviongozi jipendekezi
 
Back
Top Bottom