Gentleman,Kwanini Utumie nguvu kubwa kushupaza fikra zako kuhimiza umma huu eti usimsikilize HP na kumdhihaki juu kwa kumuita Msukule?
Tuelimishe kwa kuchambua hoja zake moja baada ya nyingine kwa kuzikosoa na kuzizahihisha ndio tutazitambua fikra zako na uhalisia wako ktk U-Tanzania wa dhati kuliko ivi ulivyo.
Ya CHADEMA tuachie wenyewe.. Pokea huo ushauri utakusaidia maishaniGentleman,
the best advice ni chadema masalia wote kuacha kubebwa ufala wa kifikra na tapeli msukule polepole hata kama you have nothing to do in this country π
Ya CHADEMA tuachie wenyewe.. Pokea huo ushauri utakusaidia maishaniGentleman,
the best advice ni chadema masalia wote kuacha kubebwa ufala wa kifikra na tapeli msukule polepole hata kama you have nothing to do in this country π
Ndg. Umeshupaza shingo na fikra zako sana, lkn cha kufurahisha ktk umma huu ni kuwa haueleweki .Gentleman,
kazi ya hekaya na upotoshaji ni kukupumbaza na kukufanya uwe lofa kifikra daima.
Porojo na story za pata potea hua ni nonsense zisizostahili kumpotezea mtu muda wake gentleman π
Gentleman,Polepole anachofanya ni kuwachonganisha Wanamtandao na Usalama wa Taifa na jeshi. Usalama wao utakuwa mdogo siku zijazo; wao na familia zao | JamiiForums Polepole anachofanya ni kuwachonganisha Wanamtandao na Usalama wa Taifa na jeshi. Usalama wao utakuwa mdogo siku zijazo; wao na familia zao
ushauri muafaka ndio huo niliowapatia gentleman, puuzeni at your own risk,Ya CHADEMA tuachie wenyewe.. Pokea huo ushauri utakusaidia maishani
ex wako akikuexpose in public hua ni kweli au maneno ya mkosaji tu. uaminiwe wewe au yeye?Uongo gani wakati mbarika zinapasuliwa?
Unawanusuru wewe kama nani mkuu, mbona unajipa umuhimu usiokuhusu?najaribu kuwanusuru wadau wa JF msije kubebwa ufala wa kifikra na huyo tapeli gentleman, coz I love and respect you so much.
Just ask yourself,
yeye kajificha, what would you do on behalf of him zaidi ya kukubea ufala uwe lofa kama yeye π
ex wako akikuexpose in public hua ni kweli au maneno ya mkosaji tu. uaminiwe wewe au yeye?
hekaya za msukule polepole ni useless na completely nonsense na ndio maana ni chadema masalia wachache tu ndio ambao wanababaika nazo
Gentleman,Unawanusuru wewe kama nani mkuu, mbona unajipa umuhimu usiokuhusu?
Mwandamizi wa buku saba Lumumbaπ π πGentleman,
nashauri kama mTanzania mzalendo, mdau makini na wa heshima wa JF, mtaalamu muandamizi wa masula ya siasa, mtafiti na muhadhiri muandamizi wa vyuo vikuu vya ndani na nje ya nchi, mkulima, mfugaji, mfanyibiashara, mshauri wa vyama vya siasa, mtumishi na kiongozi mchapakazi hodari wa wananchi,
sistahili chochote, ila hayo ni kwa uchache tu gentleman π
Acha kutapatapa we bwege, badala ya kuonesha huo upotoshaji alofanya unaandika mashudu tu hapa. Unapuuzwa tu gentleman maana hujawah kuwa na point zaidi ya blaablaa na tatarira tuSote ni mashuhuda kwamba, hivi sasa muungwana anaonekana dhahiri ana tapatapa maneno ya mkosaji mithili ya mtu alieachwa kwenye mahusiano, hana contents kabsaa.
Hata waliokua wakimfuatilia na kumsifu Polepole, hasa chadema masalia, nao hivi sasa taratibu wameanza kumshtukia na kuthibitisha kwamba Polepole anatunga story za kutafuta kiki tu na kutafuta umaarufu nonsense. Katika porojo zake hakuna uhalisia na ndio maana zimekosa mashiko na hazina athari zozote kisiasa nchini.
Anachoeleza kinasahaulika na kupuuzwa pale pale.
Ni upotoshaji wa kiwango cha chini sana ana fanya Polepole, Ex-wa CCM.
Ukiwa kama mdau wa jukwaa hili la heshima, unadhani kwanini hekaya za muungwana Polepole zimefikia hatua ya kuonekana ni umbea tu na ni kama maneno ya mtu mkosaji anaejaribu kuficha uovu wake na kuzungumzia watu badala ya issues?
why anapuuzwa hata na wale waliokua wakimuamini sana, na sasa hawapotezi muda wao tena kumfuatilia polepole?π
Mungu Ibariki Tanzania.
Waulize wana mtandao wenzio watakwambia.Gentleman,
surely kwamba eti kuna watu wenye majukumu yao mahali, eti wanamsikiliza kabisa, wanamuamini na wanababaika na hekaya za msukule polepole, zaidi ya chadema masalia?π€£
Labda sio nchi hii π