Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,904
- 1,976
itakuwa kaingia cha watoto akakuta "hotpot". Aah sorry, pot!! Hah hah hah hah!
Kweli kabisa,si bure huyu!
itakuwa kaingia cha watoto akakuta "hotpot". Aah sorry, pot!! Hah hah hah hah!
Kauawa Kamanda baro hamjajadili wala kulaani! Kachinjwa Pc Saidi Z,bar hamkujadili wala nini ila akifa mtu mwingine ni mi thread kibaaaao! hivi hao walonyang'anywa uhai wao je?!
sijui kama polisi jamii watamtambua.
Tena wasalimie huko uendako.
Waambie kule Ngozi Imewambiwa Ngoma..!!!
Na Mbuzi Kala Mkeka,basi ni Heka heka.....!!!
Teh teh teh! jamani nilikuwa napita tu Madame B, ghafla nimekuona nikaona nikujibu tu! Haya chei chei!
Mkuu umesema CD au CV? Vipi kuwapeleka The Hegi kule Uholanzi walomchinja Pc Saidi? haihusu eee!
Kauawa Kamanda baro hamjajadili wala kulaani! Kachinjwa Pc Saidi Z,bar hamkujadili wala nini ila akifa mtu mwingine ni mi thread kibaaaao! hivi hao walonyang'anywa uhai wao je?!
hivi umepost hapa tu CC au forum nzima nauliza tu maana CC tunaijua wenyewe..
mmmhhhh! kwani huu mtaa gani??? ni chit chat au ni kule kwingine?? isijekuwa nimekosea njia, jamani naomba kushikwa mkono kuongozwa, lol!
Huku sisi tuna jadili wapendanao tu! Hutupendi harufu ya damu huu mtaa! Tafadhali naomba ulete cv zako ukaguliwe!
Ni nani akifa ndiyo nyuzi zinajaa sana????
Ralphryder,naona umenogewa huku,si uwe member kabisa lol!
Tena wasalimie huko uendako.
Waambie kule Ngozi Imewambiwa Ngoma..!!!
Na Mbuzi Kala Mkeka,basi ni Heka heka.....!!!
hivi sasa ni saa ngapi jamani nijulisheni?
Tena ngozi yenyewe ya kitimoto, hahaha
hahaaa......mpaka hapo sina cha kumsaidia!
Alafu mamdogo nakutafuta sana goti langu la upande wa kulia limeumia........nataka dawa!
Nini tena ?
Umeanguka au bodaboda ?
Mbona unachagua maalum wa kukupa dawa?