Ralphryder
JF-Expert Member
- Nov 16, 2011
- 4,933
- 1,294
Kauawa Kamanda baro hamjajadili wala kulaani! Kachinjwa Pc Saidi Z,bar hamkujadili wala nini ila akifa mtu mwingine ni mi thread kibaaaao! hivi hao walonyang'anywa uhai wao je?!
Mbona unawatolea povu jf kama ndio wauaji?
Huku sisi tuna jadili
wapendanao tu! Hutupendi harufu ya damu huu mtaa! Tafadhali naomba
ulete cv zako ukaguliwe!
mmmhhhh! kwani huu mtaa gani??? ni chit chat au ni kule kwingine?? isijekuwa nimekosea njia, jamani naomba kushikwa mkono kuongozwa, lol!
Mtoa maada ndo kakosea njia!!
Labda aombe mwongozo kwa polisi jamii!!
Kauawa Kamanda baro hamjajadili wala kulaani! Kachinjwa Pc Saidi Z,bar hamkujadili wala nini ila akifa mtu mwingine ni mi thread kibaaaao! hivi hao walonyang'anywa uhai wao je?!
Kaingia choo cha kiume!
Alafu kwani alianzisha topic watu hawakujadili au analalama tu?
Sidhani kama mtu anaweza anzisha topic yake kwa umakini then isijadiliwe!
Si ndo hapo shost?
Yaani watu wengine wamekalia ulalamishi tu!
Kauawa Kamanda baro hamjajadili wala kulaani! Kachinjwa Pc Saidi Z,bar hamkujadili wala nini ila akifa mtu mwingine ni mi thread kibaaaao! hivi hao walonyang'anywa uhai wao je?!
Mtoa maada ndo kakosea njia!!
Labda aombe mwongozo kwa polisi jamii!!
Mh! haya bana ngoja nijiondokee jukwaani maana ishakuwa tabu! mara choo
cha kike mara mgeni! wakati Kaptain Komba aliimba mgeni ni ngoma!
asanteni kwa kunizodoa! mna maneno kama wazaramu!lo yani wazaramu
walimkamata mwizi,hawakumgusa wala nini walimweka chini wakamsema weeee!
hadi akafa! kwa herini!
Hahahaaaa...siku nyingine uwe na adabu!
Mh! haya bana ngoja nijiondokee jukwaani maana ishakuwa tabu! mara choo
cha kike mara mgeni! wakati Kaptain Komba aliimba mgeni ni ngoma!
asanteni kwa kunizodoa! mna maneno kama wazaramu!lo yani wazaramu
walimkamata mwizi,hawakumgusa wala nini walimweka chini wakamsema weeee!
hadi akafa! kwa herini!
Kaingia choo cha kiume!
Tena wasalimie huko uendako.
Waambie kule Ngozi Imewambiwa Ngoma..!!!
Na Mbuzi Kala Mkeka,basi ni Heka heka.....!!!