Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 25,975
- 25,288
Unabii mwingine Bunakuya stay tuned...Huyo Lena ame kuwa nabii wa Mungu toka lini, au ni kuji pamba uonekane perfect?
Unabii mwingine Bunakuya stay tuned...Huyo Lena ame kuwa nabii wa Mungu toka lini, au ni kuji pamba uonekane perfect?
Hiyo pesa ilikuwa ni yake au ya umma?Yaliokotwa mabilion ya hela chumbani kwake
Mzalendo gan8 yule aliziba mdomo media na kuligeuza Bunge kibaraka? Ni wajinga tu ndio wanaamini hivyo.Chadema mnakwama kwa sababu chama chenu kuna watu wapumbavu wengi kama wewe ....chama makini kinatakiwa kuwa na watu wenye akili kubwa ....chadema imekusanya wapumbavu wengi chamani amini msi amini ninacho sema ...mfano njia za kumkabili samia zipo ila amzijui mnakwenda kwa kupapasa ....japo kumwondoa mbowe mmefanya jambo la msingi na la akili ila mlichelewa sana ....kuna vijihatua mnavipatia chini ya Lissu ila mnabugi vibaya sana mnapo jaribu kuwaaminisha watu kuwa samia ni sawa na Jpm au kusema kuwa jpm ni kiongozi wa hovyo wakati watu wote wanajua hakuna mzalendo zaidi ya jpm tz
Sasa huo si unabii, bali uzushi tuKua nabii kwenye dini ya ukristo ni maamuzi yako tu, hata wewe unaweza kua nabii ukiamua.
Mtume wao TAL, alisema wanakinukisha, hivi bado tu?Naifurahi sana polisi wakitoa kipigo Cha mbwa Koko Kwa mijitu ya chadema nimegundua kumbe ni mijizi tu inayotaka kupata nafasi serikalini
Kwa akili hii ndio maana CCM wanashinda kila sikuUnajua kuwa wewe ukiweza kumiliki asilimia moja tu ya akili yangu ccm awatoboi?
Baba yako aliuza ng'ombe kukusonyesha kumbe kauza ng'ombe kusomesha ng'ombeKwa akili hii ndio maana CCM wanashinda kila siku
Hivi hali ya mgonjwa wenu ikoje? Keshatoka ICU?huenda angekua chadema,
walinzi binafsi wa heche wangeagizwa na heche mara moja kumshughulikia kama vile walivyomtembezea kipigo cha mbwa koko kama burukenge binti wa watu asie na hatia wala silaha Sigrada Mligo pale Njombe. Bila media huenda angedhulumiwa zaidi ya kibao![]()
yule kamanda mbibi wa chadema aliechubuliwa mapajani?Hivi hali ya mgonjwa wenu ikoje? Keshatoka ICU?

Gambo amejichimbia kaburi mwenyewe.Nakubaliana na wewe 100%
Iła on this instance, shida atakuwa Makonda.
Gambo ameingia kwenye trap za Makonda bungeni.
Mmbunge hana nitty gritty za mipango ya serikali, Makonda anajua.
Katika vita yao Makonda kamtumia mtu kumuingiza chaka Gambo aropoke bungeni.
Mambo ya mkoa ni decentralised decision za Arusha ambazo hazimuhusu Mchengerwa usimamizi wake baada ya kupeleka hela. Lakini Gambo anaweza uliża bungeni sintofahamu ya matumizi performance kwa waziri kuhusiana na hela zilizopelekwa.
Kwakuwa hoja zinaangukia TAMISEMI, Mchengerwa inabidi harudi kwenye serikali ya mkoa kupata taarifa sahihi kutoka kwa Makonda.
Na ndio msingi wa kufanya, alichomfanyia Gambo hadi kuomba msamaha bungeni na kumdhalilisha. Source ya Gambo, Makonda alikuwa anaijua na kumwambia ampe taarifa zisizo sahihi.
It was a set up, Gambo sio calculative ana papara and trustworthy ya watu aliokuwa anafanya nao kazi akiwa mkuu wa mkoa.
Kabla ya kuomba msamaha lazima kuna watu walishamueleza you were set up with false information in the first place
Sasa karma, ipo siku itamrudia na Makonda. Kwenye kichwa chake ameanza kujiaminisha he is actually a gangster.
Mtoa mada ni aina ya watu wenye mahaba yaliyopitiliza hivyo kufanya akili yake isitumike ipasavyo..Huyo Lema ame kuwa nabii wa Mungu toka lini, au ni kuji pamba uonekane perfect?
Moja ya dalili ya ukosefu wa akili ni pamoja na hiki ulichoandika.Baba yako aliuza ng'ombe kukusonyesha kumbe kauza ng'ombe kusomesha ng'ombe
Ungenyosha tu wabaya wawili wamekutana sasa mmoja ni mtaalamu pia wa majungu.Alipokuwa RC wa Arusha, Bwana Mrisho Gambo alijiona ni Mkubwa kuliko Mungu muumba mbingu na Nchi, Huyu alidanganywa na John Magufuli na akadanganyika bila kutafakari Maandiko Matakatifu (Amelaaniwa Mtu yule amtegemeaye Mwanadamu)
Kwa kufuata Maagizo ya Kijinga ya Jiwe, Mrisho Gambo akaamua kumdhalilisha Mbunge wa Arusha Mjini, Nabii wa Mungu Godbless Lema atakavyo, Wakatunga kesi nyingi dhidi ya Lema na kumweka jela kwa miezi mingi ili Wamfurahishe Shetani waliyekuwa wanamtumikia.
Tukamsihi na kumuonya Gambo kwamba, Hakuna Mahali Popote Duniani ambapo Shetani aliwahi kumshinda Mungu Lakini akatupuuza.
Hatimaye Jiwe akafa ili kutimiza Unabii wa Mtume Lema, Ghafla Mrisho Gambo na Mamluki wenzake akiwemo Sabaya wakawa Dagaa mchele nje ya Maji.
Kilio cha Mrisho Gambo leo ni kielelezo halisi kwamba Kila ubaya unaoutenda kwa lengo la kumfurahisha shetani anayekutuma utalipwa tu, tena kwa haraka sana.
Natoa Onyo kwa Mamluki wengine wote mlio hapa JF au kwingineko kwamba Mtumieni Mrisho Gambo kama Somo ili msije kukumbwa na balaa la Mungu, Japo sidhani kama mtaachwa.
Huna lolote wewe kibaka tuUpumbavu wangu na ujuha wangu una akili kuliko akili zako na za ukoo wako combine
Chadema hamna akili mnadai katiba mpya wakati hata nyinyi tukiwauliza mkishika nchi katiba yenu iliyo bora ni ipi mtakayo itumia ili tuione ubora wake hamna ....kwani chadema na kila chama kinashindwa kuandika sampo ya katiba na kuinadi kwa wananchi.Huna lolote wewe kibaka tu
Wewe ni mpumbavu kama wapumbavu wengine tu huko CCM, unAa suggest kitu cha kijinga Katiba ni Nchi siyo ya chama.Chadema hamna akili mnadai katiba mpya wakati hata nyinyi tukiwauliza mkishika nchi katiba yenu iliyo bora ni ipi mtakayo itumia ili tuione ubora wake hamna ....kwani chadema na kila chama kinashindwa kuandika sampo ya katiba na kuinadi kwa wananchi.
KarmaAlipokuwa RC wa Arusha, Bwana Mrisho Gambo alijiona ni Mkubwa kuliko Mungu muumba mbingu na Nchi, Huyu alidanganywa na John Magufuli na akadanganyika bila kutafakari Maandiko Matakatifu (Amelaaniwa Mtu yule amtegemeaye Mwanadamu)
Kwa kufuata Maagizo ya Kijinga ya Jiwe, Mrisho Gambo akaamua kumdhalilisha Mbunge wa Arusha Mjini, Nabii wa Mungu Godbless Lema atakavyo, Wakatunga kesi nyingi dhidi ya Lema na kumweka jela kwa miezi mingi ili Wamfurahishe Shetani waliyekuwa wanamtumikia.
Tukamsihi na kumuonya Gambo kwamba, Hakuna Mahali Popote Duniani ambapo Shetani aliwahi kumshinda Mungu Lakini akatupuuza.
Hatimaye Jiwe akafa ili kutimiza Unabii wa Mtume Lema, Ghafla Mrisho Gambo na Mamluki wenzake akiwemo Sabaya wakawa Dagaa mchele nje ya Maji.
Kilio cha Mrisho Gambo leo ni kielelezo halisi kwamba Kila ubaya unaoutenda kwa lengo la kumfurahisha shetani anayekutuma utalipwa tu, tena kwa haraka sana.
Natoa Onyo kwa Mamluki wengine wote mlio hapa JF au kwingineko kwamba Mtumieni Mrisho Gambo kama Somo ili msije kukumbwa na balaa la Mungu, Japo sidhani kama mtaachwa.